NABI: Nataka Fiston Mayele awe na kisasi cha magoli katika msimu mpya wa 2022/23

NABI: Nataka Fiston Mayele awe na kisasi cha magoli katika msimu mpya wa 2022/23

Kwani washambuliaji wenu John Bocco, Meddie Kagere, Cris Mugalu na yule swahiba wako Kibu Denis walikuwa wapi msimu huu kiasi cha kushindwa kuvuka hata magoli 10 tu kwa kila mchezaji?

Usikimbilie kwa hao wachezaji ambao hawajaanza hata kucheza kwenye ligi yetu.
Huko walikotoka walikuwa wafungaji Bora? Ndiyo waje kuanzia hapa?

Msimu ujao Huyo mtingisha nyonyo atafikia atachemsha na kuanzia sub. Km msimu huu kashindwa habari yake imeisha.Itoshe kuusema imebaki story.
 
Prof Nabi amenishangaza sana leo.

Mara baada ya kutamatika kwa Mechi baina ya Yanga SC na Mtibwa hapa Jangwani Stadium leo tarehe 29/06/2022.

Mmoja wa waandishi wa habari kutoka shirika la BBC alimuhitaji kwa Mahojiano mafupi, Nabi akakubali.

Swali la kwanza kwa kocha Nabi lilikuwa:

“Ni kwa namna gani matokeo ya mbio za ufungaji bora msimu huu zitamuathiri Mshambuliaji wako Fiston Mayele kwenye msimu ujao wa LigiKUU?”

Prof NABI akajibu:

Nadhani kumaliza kwake katika nafasi ya pili kumfanye asibweteke msimu ujao, ni matumaini yangu kuwa msimu ujao amalize akiwa na zaidi ya magoli aliyomaliza nayo katika msimu huu.
Prof Nabi.
 
Huko walikotoka walikuwa wafungaji Bora? Ndiyo waje kuanzia hapa?

Msimu ujao Huyo mtingisha nyonyo atafikia atachemsha na kuanzia sub. Km msimu huu kashindwa habari yake imeisha.Itoshe kuusema imebaki story.
Unamaanisha msimu huu bila shaka!! 😃
 
Back
Top Bottom