NABI: Ratiba imechangia kupoteza

NABI: Ratiba imechangia kupoteza

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
“Maandalizi yetu ni magumu hatujapata muda wa kutosha tumetumia muda mwingi kwenye recovery. Tunataka tutoe wito kwa wanaopanga ratiba, tunaliwakilisha Taifa tunaombea siku zijazo lisitokee tena”

B950B8BA-0231-418E-A893-F5BE27D255DE.jpeg
 
“Maandalizi yetu ni magumu hatujapata muda wa kutosha tumetumia muda mwingi kwenye recovery. Tunataka tutoe wito kwa wanaopanga ratiba, tunaliwakilisha Taifa tunaombea siku zijazo lisitokee tena”View attachment 2638586
Mfa maji hakosi kutapatapa, Yanga wamekaa zaidi ya wiki bila mechi halafu wanaleta janja ya nyani kutafuta kichaka wajifichie.

Huyu kocha hajawahi fungwa akakubali kuwa amezidiwa na mpinzani, yeye kila siku lawama tu.
 
Yanga kiwango kidogo, tatizo walizoea kukutana na viwete. Kwa hawa waarab, Simba lazima tungewapa bao 3 za haraka haraka.

Maana huwezi kumfunga bingwa mtetezi Wydad halafu ukamuacha huyu kiwete
Kwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?

03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.

Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?

Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?

03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.

Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?

Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mwarabu na andazi unachagua niniii[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Yanga kiwango kidogo, tatizo walizoea kukutana na viwete. Kwa hawa waarab, Simba lazima tungewapa bao 3 za haraka haraka.

Maana huwezi kumfunga bingwa mtetezi Wydad halafu ukamuacha huyu kiwete
Bao 3 za chapchap kama mlizomfunga RAJA, nyumbani na ugenini.
 
Kwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?

03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.

Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?

Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

CAFCCL ni kwa ajili ya vibonde tu!
Hata wakati simba anashiriki hiyo CAFCCL alikuwa kibonde!
Hivyo si yanga wala Usm Alger kwa sasa wote ni vibonde tu!
Sema Usm Alger ni kibonde mzoefu... Yanga hawezi kutoboa kwa Usm kwao!
Usm Alger alimtandika huyo Malumo pia, mbona hujasema!!
 
Huyo Nabi atulie tena asitafute sababu siku ambayo mnacheza na Singida ni siku hiyo hiyo anbayo na sisi USM ALGER tulicheza mechi ya ligi kuu na kupoteza bao 2

Kwa hiyo kusema wamepoteza mechi sababu ya ratiba haiwezi kuwa ni hoja ya kuzingatiwa

Una Azizi Ki anapoteza mipira hovyo na watu wote wanaona halafu sababu inakuaje ratiba?
 
Kwani Leo huyo Nabi hajaongea hadi kimakondee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akifungwaa tyuuh sijui anakuajee, km amewehuka vileee lol
 
Aziz Ki na Mayele hawakuwemo kwani kwenye mechi ya leo? Maana gemu sijaicheki.
 
Back
Top Bottom