NABI: Ratiba imechangia kupoteza

NABI: Ratiba imechangia kupoteza

ila utopoloo.eti tunaliwakilisha taifa.ulisikia lini manchester city wamesema wanaliwakilisha taifa la uingereza?huko uefa?tunajua jukumu la kuwakilisha taifa ni la timu za taifa.msilete siasa.kuhusu ratiba mlitaka mpangiwe vipi?hv ninyi mna ratiba ngumu kushinda timu za ligi kuu za ulaya?
 
CAFCCL ni kwa ajili ya vibonde tu!
Hata wakati simba anashiriki hiyo CAFCCL alikuwa kibonde!
Hivyo si yanga wala Usm Alger kwa sasa wote ni vibonde tu!
Sema Usm Alger ni kibonde mzoefu... Yanga hawezi kutoboa kwa Usm kwao!
Usm Alger alimtandika huyo Malumo pia, mbona hujasema!!
Imepenya hiyo [emoji382] ikikuuma sana ichomoe [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?

03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.

Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?

Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Na hapo ndipo mnapokosea pia, group stage na knock out ni tofauti kabisa
 
Kwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?

03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.

Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?

Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Aibu inawasubiri tena huko uarabuni, mkasasambuliwe na viwete, ambao kwa madai yako unasema walifungwa na Malumo aliyeshuka daraja, yaani ikionesha nyie ni wabovu kiasi gani.
 
Maandazi punguzen kelele wakubwa zenu tupumzike, kuna vitimu vinawataman mcheze navyo ndondo
 
Si mliwachamba Simba kipindi kile wanaomba kupumzika mkasema wanapendelewa......
Mmekandwaaaaa
Simba walikaa siku kumi bila kucheza mashindano yoyote wakijiandaa dhidi ya Kaizer Chief matokeo yake Simba walifungwa 4-0
 
Kabla ya mechi si alisema wamejiandaa vizuri imekuaje tena?
 
NABI ndiye aliyekosea KUPANGA kikosi.

MICHEZO kama Ile UNACHEZA na.

3. 4. 2. 1
 
Aache visingizio kazidiwa mbinu na USMA.
Wao ni wachovu kuliko hao wapinzani wao waliosafiri kuja kuwabonda hapa.

Haya muda huo hapo ajiandae sasa aende kupindua meza.
 
Back
Top Bottom