Kiweriweri
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 2,150
- 3,086
Yap.. mara mbili ya zile BAO 6 za chapchap mlizomfunga raja ugenini mwaka uleBao 3 za chapchap kama mlizomfunga RAJA, nyumbani na ugenini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap.. mara mbili ya zile BAO 6 za chapchap mlizomfunga raja ugenini mwaka uleBao 3 za chapchap kama mlizomfunga RAJA, nyumbani na ugenini.
Imepenya hiyo [emoji382] ikikuuma sana ichomoe [emoji1787]CAFCCL ni kwa ajili ya vibonde tu!
Hata wakati simba anashiriki hiyo CAFCCL alikuwa kibonde!
Hivyo si yanga wala Usm Alger kwa sasa wote ni vibonde tu!
Sema Usm Alger ni kibonde mzoefu... Yanga hawezi kutoboa kwa Usm kwao!
Usm Alger alimtandika huyo Malumo pia, mbona hujasema!!
Imepenya hiyo [emoji382] tena kwenye mfupa, ikikuuma sana ichomoe [emoji38]Mwarabu na andazi unachagua niniii[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Na hapo ndipo mnapokosea pia, group stage na knock out ni tofauti kabisaKwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?
03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.
Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?
Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Aibu inawasubiri tena huko uarabuni, mkasasambuliwe na viwete, ambao kwa madai yako unasema walifungwa na Malumo aliyeshuka daraja, yaani ikionesha nyie ni wabovu kiasi gani.Kwanini Mbumbumbu hamkuandamana Yanga wasipangwe na vibonde hatua zote alizocheza CAFCCL ikiwa kweli mlikuwa mna nia ikutane na timu ngumu?
03/06/2023 USM ALGER atakufa kwake 2-0 na ubingwa utakuja TZ ili muwe na akiba za maneno.
Marumo Gallants aliyeshuka daraja South Africa alimtandika 2-0 USM ALGER March 2023, naye alikuwa kibonde kwa Marumo Gallants?
Aden Rage ajengewe sanamu kiukweli pale Msimbazi [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mbona kama anacheza amapiano
Simba walikaa siku kumi bila kucheza mashindano yoyote wakijiandaa dhidi ya Kaizer Chief matokeo yake Simba walifungwa 4-0Si mliwachamba Simba kipindi kile wanaomba kupumzika mkasema wanapendelewa......
Mmekandwaaaaa
MmepigwaaaaaaaSimba walikaa siku kumi bila kucheza mashindano yoyote wakijiandaa dhidi ya Kaizer Chief matokeo yake Simba walifungwa 4-0
Aziz Ki na Mayele hawakuwemo kwani kwenye mechi ya leo? Maana gemu sijaicheki.