NABI: Ratiba imechangia kupoteza

ila utopoloo.eti tunaliwakilisha taifa.ulisikia lini manchester city wamesema wanaliwakilisha taifa la uingereza?huko uefa?tunajua jukumu la kuwakilisha taifa ni la timu za taifa.msilete siasa.kuhusu ratiba mlitaka mpangiwe vipi?hv ninyi mna ratiba ngumu kushinda timu za ligi kuu za ulaya?
 
Imepenya hiyo [emoji382] ikikuuma sana ichomoe [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Na hapo ndipo mnapokosea pia, group stage na knock out ni tofauti kabisa
 
Aibu inawasubiri tena huko uarabuni, mkasasambuliwe na viwete, ambao kwa madai yako unasema walifungwa na Malumo aliyeshuka daraja, yaani ikionesha nyie ni wabovu kiasi gani.
 
Maandazi punguzen kelele wakubwa zenu tupumzike, kuna vitimu vinawataman mcheze navyo ndondo
 
Si mliwachamba Simba kipindi kile wanaomba kupumzika mkasema wanapendelewa......
Mmekandwaaaaa
Simba walikaa siku kumi bila kucheza mashindano yoyote wakijiandaa dhidi ya Kaizer Chief matokeo yake Simba walifungwa 4-0
 
Kabla ya mechi si alisema wamejiandaa vizuri imekuaje tena?
 
NABI ndiye aliyekosea KUPANGA kikosi.

MICHEZO kama Ile UNACHEZA na.

3. 4. 2. 1
 
Aache visingizio kazidiwa mbinu na USMA.
Wao ni wachovu kuliko hao wapinzani wao waliosafiri kuja kuwabonda hapa.

Haya muda huo hapo ajiandae sasa aende kupindua meza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…