pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Mgumba lazima abebe kombe klabu bingwa safari hii,Kocha mdebwedo yule. Al merreikh walishtuka wakamtimua.
Kuna majitu mapumbavu sana nchi hii! Yaani TP Mazembe waliotolewa mashindanoni nao hawana kocha? Nabi yupo sana na Jumamosi anambatiza mtu kwa moto!Yaan wabongo bwana tunashangaza sana, leo hii Nabi anaonekana siyo kocha....!! Kwa hali kama hiyo basi duniani kote hamna kocha. Yaan hata kocha apate ushindi miaka miwili mfululizo lakin akifungwa mara moja tayar siyo kocha.
Siyo mimi ni manara alisemaKombe la waliofeli mbona lilikushinda?
TP mazembe wameona hawana kocha katimuliwa tayariKuna majitu mapumbavu sana nchi hii! Yaani TP Mazembe waliotolewa mashindanoni nao hawana kocha? Nabi yupo sana na Jumamosi anambatiza mtu kwa moto!
Shida ni kwamba alipata ushindi dhidi ya team gani na kwa usaidizi wa nani? Aragija au?Yaan wabongo bwana tunashangaza sana, leo hii Nabi anaonekana siyo kocha....!! Kwa hali kama hiyo basi duniani kote hamna kocha. Yaan hata kocha apate ushindi miaka miwili mfululizo lakin akifungwa mara moja tayar siyo kocha.
kocha kafukuzwa baada ya mechi ile we upo nchi gani?Kuna majitu mapumbavu sana nchi hii! Yaani TP Mazembe waliotolewa mashindanoni nao hawana kocha? Nabi yupo sana na Jumamosi anambatiza mtu kwa moto!
Na ndio maana sie hatujui mpiraYaan wabongo bwana tunashangaza sana, leo hii Nabi anaonekana siyo kocha....!! Kwa hali kama hiyo basi duniani kote hamna kocha. Yaan hata kocha apate ushindi miaka miwili mfululizo lakin akifungwa mara moja tayar siyo kocha.