Nabi siyo Kocha, anapanga timu kwa kufata kelele za mashabiki

Nabi siyo Kocha, anapanga timu kwa kufata kelele za mashabiki

Yaan hukumbuki km yanga aliifunga zalan....!! kweli unasahau haraka sana
Huyo Zalan alimfungia wapi?
Yanga haina exposure huwez sema umeshinda game ya kimataifa wakat mech zote umechezea kwa mkapa.

Unapokua ugenini kuna mambo ya tofaut lazima ukutane nayo na utajifunza kitu.
Hata hawa Club African wanaenda kuwapasua na makundi hamuend maana kimbinu wanawazid Sana linapokuja swala kimataifa
 
Tatzo bongo kila mtu ana akili sana kuliko wengine wote, linapofika suala la matokeo ya mpira ukomavu unahitajika sana kuliko mihemko, leo hii simba wanafanya vizur wanaishambulia yanga kila sehemu lakin ikifungwa mechi moja utaona wanauliza lile swali lao "Matola anafanya nn hapo simba ? "
Furaha ya Simba ikiendelea mpaka January mwakani naacha kushabikia mpira!
 
Back
Top Bottom