Tatzo bongo kila mtu ana akili sana kuliko wengine wote, linapofika suala la matokeo ya mpira ukomavu unahitajika sana kuliko mihemko, leo hii simba wanafanya vizur wanaishambulia yanga kila sehemu lakin ikifungwa mechi moja utaona wanauliza lile swali lao "Matola anafanya nn hapo simba ? "