GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nisiwe Mnafiki namkubali zaidi Kocha wa Yanga SC Nabi kuliko Kocha wangu wa Simba SC Pablo.
Tuvumiliane tu kwa huu Ukweli wangu.
Tuvumiliane tu kwa huu Ukweli wangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ahaa tafadhari aisee, kawapikia biriani siku zote hizo mlikuwa kimya na mkamsifia bonge moja la mpishi. Jana tu kuzidisha chumvi ndio mwamtoa thamani hivyo. Mkono uliteleza tu janaNisiwe Mnafiki namkubali zaidi Kocha wa Yanga SC Nabi kuliko Kocha wangu wa Simba SC Pablo.
Tuvumiliane tu kwa huu Ukweli wangu.
100%Maisha bila unafiki hayaendi kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Bahati mbaya jana simu ya zidane iliisha chaji kwaiyo hakupatikana katika muda muafaka[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani si tukukubaliana kuwa Pabl wa Real Madrid timu ikizidiwa anapiga simu kwa Zidane kuomba ushauri?
Kwa kusema Kwangu huu Ukweli Mkuu na mwana Simba SC Mwenzangu tayari hapo juu nimeshaambiwa kuwa Mimi ni Mnafiki.upo sahihi mkuu, simba hatuna kocha.
Kwa aliyekuzaa bado?
Kama aliyekuzaa vile.Ndondocha kwenye ubora wake
Hata Mimi nakuchulia Shoga fulani hivi wa Magomeni Mapipa kwa Macheni.We jamaa wana simba tunakuchukulia kama kibwagizo fulani hivi
Bila ya Kumsahau 'aliyekutapika' Wodi ya Uzazi na 'Wapuuzi' Wenzako wote.