Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
Duh! huyu kijana ni hatari, wajinga ndo waliwao. wamelizwa nini tena mkuu!!!!hahahaaaaaaa!!!!Kaliza watu uko leo hii
Wapi GR yako nowadays??
Mim niliachwa kisa mtalemwa wa ecg...hahahha.....maana ilikua manzi anasali huko..kila akirud anasema kaambiwa hik mara kile na huyo mchungaj....et anaambiwa huyo jamaa wala hana future na wew...***** nikamwambia bibie chagua1....akachagua kanisa.. which is not bad.hahahahaha..Sana mkuu, nlishawahi kugombana na manzi wangu flan kisa eti simuamini huyu nabii wake
Watu wanasema Yesu ni nani na Je wewe unasemaje?Mimi ni muumini kindakindaki wa katoliki, lakini baada ya kubahatika kufanya kazi kwa ukaribu na parokia nikaweza kuwajua mapadri ndani nje, imani yangu imeshuka sana juu ya dini, kanisani naenda kujumuika na jamii tu.
Lakini kama mbingu ipo kanisa na viongozi wake kamwe hawatatufikisha.
Kuna padre aliwahi kuniambia hakuna sehemu inayoitwa motoni wala mbinguni na wala hakuna siku inayoitwa ya kiyama!
mapadri karibia wote ni maatheists...na ili uwe padri lazima umkane yesuMimi ni muumini kindakindaki wa katoliki, lakini baada ya kubahatika kufanya kazi kwa ukaribu na parokia nikaweza kuwajua mapadri ndani nje, imani yangu imeshuka sana juu ya dini, kanisani naenda kujumuika na jamii tu.
Lakini kama mbingu ipo kanisa na viongozi wake kamwe hawatatufikisha.
Kuna padre aliwahi kuniambia hakuna sehemu inayoitwa motoni wala mbinguni na wala hakuna siku inayoitwa ya kiyama!
Huo mzigo anaenda kuuweka kwenye account ya bwana?! Au sio?Naona nabii wa watu amesherekea birthday yake kinamna hii [emoji23][emoji23][emoji23]. Kuna usemi usemao, "emancipate yourselves from mental slavery, None but ourselves can free our minds."
Kuna watu huwambii kitu yaani na mnaweza kugombana eti unamsema vibaya mtumishi [emoji23][emoji23]View attachment 2000076
Ndio mkuuHuo mzigo anaenda kuuweka kwenye account ya bwana?! Au sio?
Hahahah, what happened next?Mim niliachwa kisa mtalemwa wa ecg...hahahha.....maana ilikua manzi anasali huko..kila akirud anasema kaambiwa hik mara kile na huyo mchungaj....et anaambiwa huyo jamaa wala hana future na wew...***** nikamwambia bibie chagua1....akachagua kanisa.. which is not bad.hahahahaha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda hii falsafa yake.Yesu Moyoni..Akili kichwani..Pesa Mfukoni
Kila kitu kina majira na muda wake.hiv huya jamaa alifia wap?
Kila kitu kina majira na muda wake.