Nabii Bushiri building a multi billion dollar city

Nabii Bushiri building a multi billion dollar city

Yaani mkuu mtu ana arrest warrant to skip
Prophet Bushiri ni PhD holder, ana biashara nyingi na kubwa. Ana ofisi kubwa Dubai. Ana migodi 27 Zambia na hapa Tanzania. Ana shirika la ndege. Ana hotels SA, US etc. Na biashara nyingine nyingi tu

Wakati mwingine tuwe wakweli. Wivu wa baadhi ya watu ndani ya vyombo vya usalama vya SA ndio vimemuondoa kule. Ile fraud wanayoitaja (about 6m USD) ni kwasababu yeye aliwahimiza watu wawekeze na kumbe management ya kampuni ikashindwa na kusababisha hasara. Alipendekeza alipe kwa awamu kama kuchukua responsibility wakamkatalia na kumpa kesi. Bushiri kwa hela aliyonayo ndio abake mwanamke?

Ameondoka SA baada ya mamlaka kushauriwa na zikaruhusu. Aliondoka na raisi wa Malawi alipoenda ziarani kule hivyo ni uongo kusema alitoroka

Prophet Bushiri ni PhD holder, ana biashara nyingi na kubwa. Ana ofisi kubwa Dubai. Ana migodi 27 Zambia na hapa Tanzania. Ana shirika la ndege. Ana hotels SA, US etc. Na biashara nyingine nyingi tu

Wakati mwingine tuwe wakweli. Wivu wa baadhi ya watu ndani ya vyombo vya usalama vya SA ndio vimemuondoa kule. Ile fraud wanayoitaja (about 6m USD) ni kwasababu yeye aliwahimiza watu wawekeze na kumbe management ya kampuni ikashindwa na kusababisha hasara. Alipendekeza alipe kwa awamu kama kuchukua responsibility wakamkatalia na kumpa kesi. Bushiri kwa hela aliyonayo ndio abake mwanamke?

Ameondoka SA baada ya mamlaka kushauriwa na zikaruhusu. Aliondoka na raisi wa Malawi alipoenda ziarani kule hivyo ni uongo kusema alitoroka
Mkuu ili tuweze kujadili hoja hii tuache uumini wetu ila ukweli utawale,nini kimemfanya Bushiri akimbo nchi wakati he feel is innocent?,why he skip the bail?hili mpaka mawakili wake,SA ina a very progress constitution in the world was no need kukimbia nchi,la pili mkuu ongea ukweli je unataka kuniambia presidential aircraft ikiwa na president inside ilitumika kumtorosha suspect?,tuache story za vijiweni na muda mwingine hili jukwaa linaonekana limepoteza ukweli wake,wewe mkuu ungekua Rais ungeruhusu ungerùhusu kumbeba fugitive?
 
Yaani mkuu mtu ana arrest warrant to skip



Mkuu ili tuweze kujadili hoja hii tuache uumini wetu ila ukweli utawale,nini kimemfanya Bushiri akimbo nchi wakati he feel is innocent?,why he skip the bail?hili mpaka mawakili wake,SA ina a very progress constitution in the world was no need kukimbia nchi,la pili mkuu ongea ukweli je unataka kuniambia presidential aircraft ikiwa na president inside ilitumika kumtorosha suspect?,tuache story za vijiweni na muda mwingine hili jukwaa linaonekana limepoteza ukweli wake,wewe mkuu ungekua Rais ungeruhusu ungerùhusu kumbeba fugitive?
Mkuu wewe una chuki na Bushiri ndio maana unaona negative side. Ungefahamu influence yake kwa serikali ya Malawi wala usingehoji ilikuwaje akaondoka na raisi na mamlaka za SA ziliruhusu. Kulikuwa na tishio la mauaji.

Mpaka sasa tuziachie mahakama zitaamua nani mwenye haki lakini mimi ninamuunga mkono kuondoka SA kwasababu inajulikana sana jinsi kulivyo na mauaji ya wageni kule.
 
Prophet Bushiri ni PhD holder, ana biashara nyingi na kubwa. Ana ofisi kubwa Dubai. Ana migodi 27 Zambia na hapa Tanzania. Ana shirika la ndege. Ana hotels SA, US etc. Na biashara nyingine nyingi tu

Wakati mwingine tuwe wakweli. Wivu wa baadhi ya watu ndani ya vyombo vya usalama vya SA ndio vimemuondoa kule. Ile fraud wanayoitaja (about 6m USD) ni kwasababu yeye aliwahimiza watu wawekeze na kumbe management ya kampuni ikashindwa na kusababisha hasara. Alipendekeza alipe kwa awamu kama kuchukua responsibility wakamkatalia na kumpa kesi. Bushiri kwa hela aliyonayo ndio abake mwanamke?

Ameondoka SA baada ya mamlaka kushauriwa na zikaruhusu. Aliondoka na raisi wa Malawi alipoenda ziarani kule hivyo ni uongo kusema alitoroka
Huyu mtu sio kabisa....
Akajibu kesi tujue ukweli ni upi hasa
Hata kama ana pesa anaweza kubaka kwani kila mdada yuko after money?
 
Huyu mtu sio kabisa....
Akajibu kesi tujue ukweli ni upi hasa
Hata kama ana pesa anaweza kubaka kwani kila mdada yuko after money?
Issue ni usalama wake akiwa SA. Alishasema hana tatizo na kesi, yupo tayari kwenda akihakikishiwa usalama.
Ishu ya kubaka ni ujingaujinga tu wa watu wenye wivu.
 
Back
Top Bottom