Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hamna utumwa mbaya unaotesa vijaka kama hilo neno "kwenda na wakati".Kuna siku akiwa ufukweni anaweza akala bikini tena zile za vikamba kisa anaenda na wakati. Ukiwa mtu wa Mungu hasa kiongozi wa kiroho ishi kama neno la Mungu litakavyo ukiongeza manjonjo lazima mwisho wa siku utaharibu.Shalom wapendwa, watumishi wengi wa bongo huenda kuvaa vitenge na wake zao yaani huwa hawapendezi kabisa, ni vyema wakiwaiga hawa watumishi kwa kuvaa mavazi yanayoendana na wakati, Mr & Mrs Carmel ni watu wa kuigwa. View attachment 2083008View attachment 2083009
Labda watoto wasiojua walitendaloKAMA KWELI MBINGU IPO NI WACHACHE SANA WATAINGIA
Kwa lipi, huyu natasha ambaye anakodi watu kwa ajili ya maajabu?Shalom wapendwa, watumishi wengi wa bongo huenda kuvaa vitenge na wake zao yaani huwa hawapendezi kabisa, ni vyema wakiwaiga hawa watumishi kwa kuvaa mavazi yanayoendana na wakati, Mr & Mrs Carmel ni watu wa kuigwa. View attachment 2083008View attachment 2083009
Naona umeamua kuwapigia promo tu kuna nini jipya hapo? Watu wanatengeza mpaka tshirt za Mr & Mrs ........Shalom wapendwa, watumishi wengi wa bongo huenda kuvaa vitenge na wake zao yaani huwa hawapendezi kabisa, ni vyema wakiwaiga hawa watumishi kwa kuvaa mavazi yanayoendana na wakati, Mr & Mrs Carmel ni watu wa kuigwa. View attachment 2083008View attachment 2083009
Jamani dini zimeingiliwa. Hawa nao ni nabii?. Kweli hizi siku za mwisho. Hakika mbingu tutaisikia tu kwenye mahubiriShalom wapendwa, watumishi wengi wa bongo huenda kuvaa vitenge na wake zao yaani huwa hawapendezi kabisa, ni vyema wakiwaiga hawa watumishi kwa kuvaa mavazi yanayoendana na wakati, Mr & Mrs Carmel ni watu wa kuigwa. View attachment 2083008View attachment 2083009
Kwani ndoa tayari?Mimi walivyokuwa wananyonyana denda kabla hawajaoana niliwatoa kwenye utumishi wa Mungu.
Mbingu ni mbingu, hayo mavazi sio kikwazo cha kwenda mbinguniKAMA KWELI MBINGU IPO NI WACHACHE SANA WATAINGIA
Kwa hiyo unashauri watumishi wa Mungu wasivae hivyo?Hamna utumwa mbaya unaotesa vijaka kama hilo neno "kwenda na wakati".Kuna siku akiwa ufukweni anaweza akala bikini tena zile za vikamba kisa anaenda na wakati. Ukiwa mtu wa Mungu hasa kiongozi wa kiroho ishi kama neno la Mungu litakavyo ukiongeza manjonjo lazima mwisho wa siku utaharibu.
Kwa hiyo unashauri watumishi wa Mungu wasivae hivyo?Hamna utumwa mbaya unaotesa vijaka kama hilo neno "kwenda na wakati".Kuna siku akiwa ufukweni anaweza akala bikini tena zile za vikamba kisa anaenda na wakati. Ukiwa mtu wa Mungu hasa kiongozi wa kiroho ishi kama neno la Mungu litakavyo ukiongeza manjonjo lazima mwisho wa siku utaharibu.
Mbona tayari usha jijibu.Kwa hiyo unashauri watumishi wa Mungu wasivae hivyo?
Wepi hao?Labda watoto wasiojua walitendalo
Yapo mavazi maalum kwa ajili ya madhabahu, hutumia hayo mavaziKama na madhabahuni wanapanda hivyo basi sawa .