Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #21
Acha kumchafua mtiwa mafuta wa BwanaKwa lipi, huyu natasha ambaye anakodi watu kwa ajili ya maajabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumchafua mtiwa mafuta wa BwanaKwa lipi, huyu natasha ambaye anakodi watu kwa ajili ya maajabu?
Kapicha plz wakila denda ili tuthibitishe.Mimi walivyokuwa wananyonyana denda kabla hawajaoana niliwatoa kwenye utumishi wa Mungu.
SmeniKila la kheri zao...
Poa shemasiSawa Nabii.
I think una pepo machafu weyeHao ni manabii? Kmmmmqqq
Not promo bali nahamasisha wapendwa wa bongo waache kuvaa vitenge wajaribu na hizi jeans & t-shirt watapendeza mnooNaona umeamua kuwapigia promo tu kuna nini jipya hapo? Watu wanatengeza mpaka tshirt za Mr & Mrs ........
Hahaaa mbona wapo vizuri tuJamani dini zimeingiliwa. Hawa nao ni nabii?. Kweli hizi siku za mwisho. Hakika mbingu tutaisikia tu kwenye mahubiri
Ndoa bado ila mdosi kila siku yupo na RevKwani ndoa tayari?
Ukute wewe ndio Natasha mwenyewe. Tangu ule uzi wa Kilewo ufukuliwe sina imani na nyuzi zinazosifiasifia.Shalom wapendwa, watumishi wengi wa bongo huenda kuvaa vitenge na wake zao yaani huwa hawapendezi kabisa, ni vyema wakiwaiga hawa watumishi kwa kuvaa mavazi yanayoendana na wakati, Mr & Mrs Carmel ni watu wa kuigwa.
Usihofu mpendwa nipo hapa hapa bongo, ni mbongo og wala sio mkenya mieUkute wewe ndio Natasha mwenyewe. Tangu ule uzi wa Kilewo ufukuliwe sina imani na nyuzi zinazosifiasifia.