Pre GE2025 Nabii Edmund Mystic: Watanzania epukeni mashinikizo yoyote yanayoweza kuhatarisha usalama wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu ndiye mmoja wa manabii wa uongo ambao Biblia inasema siku za mwisho watakuwepo wengi. Yeye badala ya kuitaka Serikali itende haki anawataka wananchi wasidai haki zao. If anything, udhalimu wa Serikali ndio utakaoleta machafuko!
 
Kiongozi yoyote wa kidini anayezungumzia amani bila kuzungumzia haki namuona ni mpumbavu kabisa.
Duniani haki haijawahi kuwa timamu kwa watu wote, hata dini kuna mitume walipewa zaidi wengine kidogo, Acha upumbavu wako.
 
Huyu ndiye mmoja wa manabii wa uongo ambao Biblia inasema siku za mwisho watakuwepo wengi. Yeye badala ya kuitaka Serikali itende haki anawataka wananchi wasidai haki zao. If anything, udhalimu wa Serikali ndio utakaoleta machafuko!
Humuoni Zumaridi!!?
 
Huyu kijana ni kati ya watu wamechukua nafasi ya sheikh yahya..! anatabiri matukio ambayo tiss wanamwambia matokeo kabla ya tukio.
 
Uko sawa kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…