Nabii Flora wa Mbezi Beach

Status
Not open for further replies.
wakati yupo misri sasa yupo nchi ya ahadi amesafishwa na damu ya Yesu


Naunga mkono hoja mkuu!
Japo mara nyingi tunapishana maoni, lakini huwa na'appreciate' uzito wa hoja zako! Lakini hiyo mironjo inadai 'track suit' mkuu!
 
To the law and to the Testimony! If they don't speak according to this word, it is because there is no light in them. Isaiah 8:20
 
Sio Qur'an hata kwenye Biblia Yesu hakuwahi kuwa na mtume mwanamke na hata kabla ya Yesu Ukisoma Agano la kale wale wote waliotumiwa na Mungu waliuwa wanawake.me ni mwanake lakini siungu kabisa hii kitu
mh dada hujaisoma vizuri biblia...kaisome tena utaona sehemu nyingi tu, agano la kale na agano jipya yakielezea juu ya nabii mwanamke...
sijui mambo ya nabii flora, wala simuungi mkono but nakujibu kuwa kwenye bible yapo maandiko yanayosema juu ya manabii wanawake
 
Mnatuharibia hii thread wakuu inabidi tuongelee mambo ya hii thread jamani na sio vinginevyo...itabidi muanzishe topic mpya then wote kwa pamoja tuchangie kuhusu dini au sio??

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi


Kweli tumekwisha. Mkorogo wa nguvu, uwongo, na kutembea na waume za watu kisha anaitwa nabii? Basi mimi ni Yesu ama Mohammad.
 
Ametembea na mume wa nani?
Manake hukawii kujikuta muongo ni wewe sasa.
Kweli tumekwisha. Mkorogo wa nguvu, uwongo, na kutembea na waume za watu kisha anaitwa nabii? Basi mimi ni Yesu ama Mohammad.
 
Japo simuungi mkono! But Mbona bar zinaongezeka hampigi kelele?! Makanisa yakiongezeka kosa?! Tafakari....Chukua hatua!!
 
Sio Qur'an hata kwenye Biblia Yesu hakuwahi kuwa na mtume mwanamke na hata kabla ya Yesu Ukisoma Agano la kale wale wote waliotumiwa na Mungu waliuwa wanawake.me ni mwanake lakini siungu kabisa hii kitu

Nabii Deborah. Waamuzi 4:4-5
 
Eh! Mbona flora a.k.a nabii kajichubua hivi?

Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi
 
Haya ni matokeo ya kutosoma Biblia na kuomba uongozi wa Roho Mtakatifu. Neno la Mungu limesema tuzipime roho maana si zote zinaotoka kwa Mungu. Si unajua hata shetani anaweza akafanya miujiza!! Kumbuka miujiza ya Musa wale waganga pia waliifanya baadhi.

Pamekua na makanisa mengi ambayo watu wanakimbilia kupata huduma za kiroho na kimwili. Na Nabii Flora ni mmoja wa manabii ambaye amefanikiwa kupata watu wengi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…