Think2
Member
- Jan 3, 2025
- 29
- 47
Jana nikiwa zangu om nikaamua nicheki tv kidogo japo kuwa hua siangalii sana nikaingia zangu channel ten aisee hii dunia inakoelekea sio kuna jamaa anajiita nabii anajipaka uchafu na matope kichwani na usoni anahubiri watu .
Serikali mpo wapi mtu kama huyu nimdanganifu anachoma biblia takatifu .
Nendeni youtube channel hii players online mjionee
Serikali mpo wapi mtu kama huyu nimdanganifu anachoma biblia takatifu .
Nendeni youtube channel hii players online mjionee