Nabii GeorDavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

Maskini ni nyie mnaoamini kuwa kuna yesu
 
Ujinga ni kuamini ulichoandikiwa na kuaminishwa kama hivi wewe ulivyoamdiniwa na kuamini ujinga wa kibiblia
 
HUNI HILO.
 
HUNI HILO.
 
Ujinga ni kuamini ulichoandikiwa na kuaminishwa kama hivi wewe ulivyoamdiniwa na kuamini ujinga wa kibiblia
hakuna anayelazimisha uamini, na hakuna mwenye hatima ya maisha yako, ni uamuzi wako kuamini na kufuata kile kilisho sahihi kwa sababu kama ni athari, utazipata wewe binafsi.
 
Kumbuka alipanda punda kwenda Jerusalem, atakushangaa na mchuma wako. Atakuambia tu kwa kukuhurumia kuwa "duniani ni mapito tu ".
 

1 The 4:16-18​

Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
 
Wenye wake sijui wanamuelewaje huyo jamaa.

Kuna mwanamke aliamua kujiandika jina lake mwilini. Siku mume wake alipomfunua na kukuta jina la jamaa ndio ikawa mwisho wa ndoa.

Naye huyo mwanamke bila hiana akaenda kwa kanisa la huyo bwana na kushuhudia yaliyomtokea baada ya kuandika jina lake.
Cha ajabu jamaa akamsifu na kumpa zawadi.
Hiyo mtu inaitwa ngurumo ya nini sijui, kaa nayo mbali.
 
Mbona alisharudi kitambo tu?
 

Attachments

  • FB_IMG_16537609783606502.jpg
    30.6 KB · Views: 2
Huyu bwana haya maneno anayoongea katika video hii sio udhalilishaji wa bwa yesu kweli?

Au tajiri mapesa yupo sahihi tusiumize vichwa?
 

Attachments

  • VID-20241205-WA0136.mp4
    1.1 MB
Huyo ni mjasiliaDINI kama wengine tu..mzee wa upako, gwajima, kapola na kina bakwata na wenzake
 
Kajifunze kuandika kwanza we maamuma. Moderator futeni huu upuuzi. Hii video ya huyu mwehu ipo humu na kuna uzi wake inajadiliwa. Huku ni kutujazia server tu bila sababu. Kwanza hata alichoandika mwemyewe hajui ni nini.

Hawa maamuma wakiamka wanaleta nyuzi zisizo na mbele wala nyuma
 
Ukiona watu wa aina hii wanaongezeka ujue laana inatapakaa kwa kufuru zao.
Hakuna zuri au neema litatoka kwa watu kama hawa zaidi ya kufuru, kutia watu umasikini kwa utapeli wao, kupotosha watu kiimani.
 
Punguza jazba maamuma usije kupasuka kitambi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…