HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Maskini ni nyie mnaoamini kuwa kuna yesuYaani Yesu Kristo akija mara ya pili kama Bwana wa mabwana Mfalme wa wafalme atamuomba kiumbe aliyemuumba ampe msaada wa usafiri? Sitasema kuwa ni kufuru! Ila nitasema huyu jamaa hajui analolisema na anahitaji maombi! Huyu ni masikini kuliko masikini wote niliowahi kuwasikia!
Ujinga ni kuamini ulichoandikiwa na kuaminishwa kama hivi wewe ulivyoamdiniwa na kuamini ujinga wa kibibliaWandugu, ukisoma Mathayo 24, mstari wa 1-44, utagundua Yesu alieleza kwa kirefu sana majira yanayokaribia kuja kwake. kutokea kwa manabii wengi wa uongo, vita mahali mahali n.k, na kwamba kuja kwake kutakuwa kwa ghafla, kama umeme utokeavyo mashariki ukaonekana magharibi, ndivyo itakavyokuwa. Manabii wa uongo wapo wengi sana.
kuan watu hawaelewi jambo hili, hapa duniani tunatembea na wanadamu wengi tu ambao ni nusu mtu nusu shetani, walizaliwa hivyo, hao hata watubu vipi hawasamehewi kwa sababu walishahukumiwa, sehemu yao ni ktk ziwa la moto na baba yao shetani, na shetani anawatumia kama maajenti wake kufanya yale anayotaka dhidi ya kanisa. ndio maana wanaweza kufanya makufuru, kupotosha injili, kujitajirisha na kutapeli, wapo tu, walishatabiriwa.
Ndugu zangu, tujiandae, ujio wa Yesu hatakuja kama mwanzo,
MATENDO 1:11, Yesu alipokuwa anapaa mbele ya machi ya mitume wake, alikuwa anapaa kwenda mbinguni. Malaika walisimama karibu yao wakwaambia,. Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake mbinguni.
Kama alivyopaa, ndovyo atakavyoshuka. hawezi kushuka akafikia airport akahitaji huyu mhubiri aje amchukue kwa gari yake iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
HUNI HILO.Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.
"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
HUNI HILO.Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.
"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
hakuna anayelazimisha uamini, na hakuna mwenye hatima ya maisha yako, ni uamuzi wako kuamini na kufuata kile kilisho sahihi kwa sababu kama ni athari, utazipata wewe binafsi.Ujinga ni kuamini ulichoandikiwa na kuaminishwa kama hivi wewe ulivyoamdiniwa na kuamini ujinga wa kibiblia
😂Kweli. Huyo Yesu atakayepanda gari la mwanadamu atakuwa si yule aliyeumba mbingu na nchi. Huyo akishuka nchi itakumbwa na tetemeko kuu. Kitakachofuata baada ya hapo ni kilio cha kusaga meno
Nawe mchonga nyusi jaribu kuficha uchi wa akili yako. Unatia aibu kwa ujuaji wako.sasa kama unaamini bikra anazaa utashindwa kuamini hizo stori?
imani zina mambo mengi
Achana Na Mamluki, Hao Utapotea Bure
Mjasilia dini anaruhusiwa kutamka lolote sio?Huyo ni mjasiliaDINI kama wengine tu..mzee wa upako, gwajima, kapola na kina bakwata na wenzake
Ukiona watu wa aina hii wanaongezeka ujue laana inatapakaa kwa kufuru zao.Nabii Geordavie amesema kwamba endapo Yesu angerudi leo, angehitaji kutumia gari lake na kumtaka amfuate uwanja wa ndege kwa ajili ya msafara wa hadhi yake. Nabii huyo alieleza kuwa Yesu angekuwa na mtazamo tofauti, akiamua kukaa naye na kuchagua gari miongoni mwa alizonazo ili kuendana na hadhi yake.
"Nadhani atakuwa na mtazamo tofauti, jambo la kwanza ataamua kukaa na mimi na atataka kutumia gari langu, atachagua katika hizi (gari) na ataomba nimfuate airport (uwanja wa ndege) kwasababu ndio hadhi yake na kutakuwa na msafara kabisa."
Punguza jazba maamuma usije kupasuka kitambi.Kajifunze kuandika kwanza we maamuma. Moderator futeni huu upuuzi. Hii video ya huyu mwehu ipo humu na kuna uzi wake inajadiliwa. Huku ni kutujazia server tu bila sababu. Kwanza hata alichoandika mwemyewe hajui ni nini.
Hawa maamuma wakiamka wanaleta nyuzi zisizo na mbele wala nyuma
Labda maana ana mungu wake anamuita mungu wa geodavie 🫥😶🌫️