Nabii mdogo kuliko wote

Nabii mdogo kuliko wote

bongodili tele

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2024
Posts
1,520
Reaction score
3,022
Anaitwa Nabii Jeremiah Jr toka Zambia ndie nabii mdogo kuliko wote kwa sasa mwenye upako akitenda miujiza
 

Attachments

  • Screen_Recording_20240715_070535.mp4
    22.9 MB
Anaitwa Nabii Jeremiah Jr toka Zambia ndie nabii mdogo kuliko wote kwa sasa mwenye upako akitenda miujiza
“Miracles are nothing but ignorance of the true cause of phenomena”.

Mfano, ungeenda kipindi cha Yesu na smartphone yako ukaanza kuchukua watu video nna kuwaonyesha , wasingekupiga mawe kwa uchawi?
 
Nilikwenda mjini fulani wakati wa winter...maji ya bahari yakawa yameganda...nikapita natembea juu ya maji...that was a miracle!!
 
Back
Top Bottom