Nabii Mtalemwa alitabiri kuhusu ajali ya Kariakoo. Kuna haja ya kuanza kufatilia tabiri hizi au alibahatisha?

Nabii Mtalemwa alitabiri kuhusu ajali ya Kariakoo. Kuna haja ya kuanza kufatilia tabiri hizi au alibahatisha?

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katika nyakati tofauti Apostle Mtalemwa alitoa unabii juu ya maafa yanayoweza kutoka Kariakoo na ilikuwa 21/ 1/ 2024 na alisema hivi kutakuwa na dibeti wakandarasi wafanye hivi wafanye vile is matter of prayer na kumuuliza Mungu turehemu. Niliona ramani ya Nchi imezungukwa na waganga wa kienyeji, sasa wakati naomba jana sasa nikaona gorofa likiyumba hivi watu wakilia vilio likienda chini na kuzuwa gumzo kubwa sana mtandaoni.

Unabii mwengine Apostle Mtalemwa aliutoa 28 Julai, 2024 Alfajiri kabla ya kuamka niliamshwa na maono yafuatayo naona kuna mjumbe wa shetani ambaye ninamuona anaenda kwenye eneo la Kariakoo tena anaenda kutoa kama kafara ili mambo yao yaende ambayo italeta madhara ya kudai roho za watu wasiopungua 110.



Prophet Rolinga yeye alizungumzia eneo la roho za umauti zitaanza kufanya kazi mwishoni mwa 2024 hadi kuelekea 2025 na kuwasii waumi wake kuomba sana.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Je, pindi watu hawa wanapotoa tabiri zao mamlaka zinapazwa kufanya chunguzi zao ili kama kuna viashiria hivyo wafanyie kazi? Malaria 2 njoo hapa utie neno

Kwa sababu ukitazama ni hali ambayo ni kweli imetokea na walisema zaidi ya mara moja! Tushuke hapa sasa tuelewane vizuri zaidi upi mtazamo wako?
 
Huyu jamaa kaagiza watu waangushe ghorofa ili azidi kuaminika ...!!

Akamatwe .
 
Huo ni utabiri uchwara.

Yani ni sawa na mtu awe anaishi porini, Halafu umtabirie kwamba ipo siku atang'atwa na nyoka. Na siku nyoka akimng'ata kweli, uje useme utabiri wako umetimia.

Umetabiri, ila huja specify siku ipi? Tarehe ipi? Mwezi upi? Mwaka upi? Na muda gani exactly tukio la utabiri litatokea.

Ndicho alichofanya huyo mchungaji na utabiri wake uchwara.
 
nabii yuko vizuriiii mazeee....ila makobaz yatabisha na mitusiiii, maostaz wengii wameyageuza madrasa kuwa gestiiii! wanatoboana spikaa mle noma sanaa
 
Huo ni utabiri uchwara.

Yani ni sawa na mtu awe anaishi porini, Halafu umtabirie kwamba ipo siku atang'atwa na nyoka. Na siku nyoka akimng'ata kweli, uje useme utabiri wako umetimia.

Umetabiri, ila huja specify siku ipi? Tarehe ipi? Mwezi upi? Mwaka upi? Na muda gani exactly tukio la utabiri litatokea.

Ndicho alichofanya huyo mchungaji na utabiri wake uchwara.
Haya tabiri na wewe tuone. Kama ni rahisi hivyo afu utuletee ushuhuda
 
Shida inakuwa hautajua ni siku gani tukio litatokea na ni jinsi gani ya kujiadhari.....ebu angalia aliongea toka mwezi wa 7 tukio limekuja kutokea mwezi wa 11
Yani ni sawa na mtu atabiri mwaka 2025 kutatokea Ajali nyingi sana hapa nchini.

Halafu ikitokea ajali yeyote ile mwaka 2025, Aje aseme ni utabiri wake.

Ndivyo huyo mchungaji uchwara alicho kifanya.
 
Katika nyakati tofauti Apostle Mtalemwa alitoa unabii juu ya maafa yanayoweza kutoka Kariakoo na ilikuwa 21/ 1/ 2024 na alisema hivi kutakuwa na dibeti wakandarasi wafanye hivi wafanye vile is matter of prayer na kumuuliza Mungu turehemu. Niliona ramani ya Nchi imezungukwa na waganga wa kienyeji, sasa wakati naomba jana sasa nikaona gorofa likiyumba hivi watu wakilia vilio likienda chini na kuzuwa gumzo kubwa sana mtandaoni.

Unabii mwengine Apostle Mtalemwa aliutoa 28 Julai, 2024 Alfajiri kabla ya kuamka niliamshwa na maono yafuatayo naona kuna mjumbe wa shetani ambaye ninamuona anaenda kwenye eneo la Kariakoo tena anaenda kutoa kama kafara ili mambo yao yaende ambayo italeta madhara ya kudai roho za watu wasiopungua 110.



Prophet Rolinga yeye alizungumzia eneo la roho za umauti zitaanza kufanya kazi mwishoni mwa 2024 hadi kuelekea 2025 na kuwasii waumi wake kuomba sana.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Je, pindi watu hawa wanapotoa tabiri zao mamlaka zinapazwa kufanya chunguzi zao ili kama kuna viashiria hivyo wafanyie kazi? Malaria 2 njoo hapa utie neno

Kwa sababu ukitazama ni hali ambayo ni kweli imetokea na walisema zaidi ya mara moja! Tushuke hapa sasa tuelewane vizuri zaidi upi mtazamo wako?
Mamlaka mbona zilishaunda tume na kufanya chunguzi na kugundua matatizo haya siku nyingi, zina taarifa zote.
 
Haya tabiri na wewe tuone. Kama ni rahisi hivyo afu utuletee ushuhuda
Natabiri mwaka kesho mvua zitanyesha sana hapa nchini.

Zikianza kunyesha nitakushtua, utabiri wangu ukianza..😄

Si ndio unataka tabiri za namna hii, kama ya huyo mchungaji alivyo fanya.
 
Manabii zaidi 20kule You Tube wametabiri 2025 Mama hatoboi.

Kuamini au kutoamini ni juu yako.
Katika nyakati tofauti Apostle Mtalemwa alitoa unabii juu ya maafa yanayoweza kutoka Kariakoo na ilikuwa 21/ 1/ 2024 na alisema hivi kutakuwa na dibeti wakandarasi wafanye hivi wafanye vile is matter of prayer na kumuuliza Mungu turehemu. Niliona ramani ya Nchi imezungukwa na waganga wa kienyeji, sasa wakati naomba jana sasa nikaona gorofa likiyumba hivi watu wakilia vilio likienda chini na kuzuwa gumzo kubwa sana mtandaoni.

Unabii mwengine Apostle Mtalemwa aliutoa 28 Julai, 2024 Alfajiri kabla ya kuamka niliamshwa na maono yafuatayo naona kuna mjumbe wa shetani ambaye ninamuona anaenda kwenye eneo la Kariakoo tena anaenda kutoa kama kafara ili mambo yao yaende ambayo italeta madhara ya kudai roho za watu wasiopungua 110.



Prophet Rolinga yeye alizungumzia eneo la roho za umauti zitaanza kufanya kazi mwishoni mwa 2024 hadi kuelekea 2025 na kuwasii waumi wake kuomba sana.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Je, pindi watu hawa wanapotoa tabiri zao mamlaka zinapazwa kufanya chunguzi zao ili kama kuna viashiria hivyo wafanyie kazi? Malaria 2 njoo hapa utie neno

Kwa sababu ukitazama ni hali ambayo ni kweli imetokea na walisema zaidi ya mara moja! Tushuke hapa sasa tuelewane vizuri zaidi upi mtazamo wako?
 
Yani ni sawa na mtu atabiri mwaka 2025 kutatokea Ajali nyingi sana hapa nchini.

Halafu ikitokea ajali yeyote ile mwaka 2025, Aje aseme ni utabiri wake.

Ndivyo huyo mchungaji uchwara alicho kifanya.
inashangaza mtu anaweza kuona baya lijalo lakini hawezi kutoa solution ya hilo baya.....sasa nini maana ya yeye kuona.
 
Back
Top Bottom