Nabii Mtalemwa alitabiri kuhusu ajali ya Kariakoo. Kuna haja ya kuanza kufatilia tabiri hizi au alibahatisha?

Nabii Mtalemwa alitabiri kuhusu ajali ya Kariakoo. Kuna haja ya kuanza kufatilia tabiri hizi au alibahatisha?

Katika nyakati tofauti Apostle Mtalemwa alitoa unabii juu ya maafa yanayoweza kutoka Kariakoo na ilikuwa 21/ 1/ 2024 na alisema hivi kutakuwa na dibeti wakandarasi wafanye hivi wafanye vile is matter of prayer na kumuuliza Mungu turehemu. Niliona ramani ya Nchi imezungukwa na waganga wa kienyeji, sasa wakati naomba jana sasa nikaona gorofa likiyumba hivi watu wakilia vilio likienda chini na kuzuwa gumzo kubwa sana mtandaoni.

Unabii mwengine Apostle Mtalemwa aliutoa 28 Julai, 2024 Alfajiri kabla ya kuamka niliamshwa na maono yafuatayo naona kuna mjumbe wa shetani ambaye ninamuona anaenda kwenye eneo la Kariakoo tena anaenda kutoa kama kafara ili mambo yao yaende ambayo italeta madhara ya kudai roho za watu wasiopungua 110.



Prophet Rolinga yeye alizungumzia eneo la roho za umauti zitaanza kufanya kazi mwishoni mwa 2024 hadi kuelekea 2025 na kuwasii waumi wake kuomba sana.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Je, pindi watu hawa wanapotoa tabiri zao mamlaka zinapazwa kufanya chunguzi zao ili kama kuna viashiria hivyo wafanyie kazi? Malaria 2 njoo hapa utie neno

Kwa sababu ukitazama ni hali ambayo ni kweli imetokea na walisema zaidi ya mara moja! Tushuke hapa sasa tuelewane vizuri zaidi upi mtazamo wako?
Wewe na huyo Mutalemwa ni wapumbavu.
 
Kwa nini alitaja kariakoo na siyo mbagala?
Kwa sababu alijua ujenzi wa majengo mengi pale Kariakoo, Hauzingatii viwango vya ujenzi vinavyotakiwa.

Hata hapa JF kuna uzi wa miaka kama miwili iliyopita, Una eleza wazi kwamba majengo mengi Kariakoo hayazingatii viwango vya ujenzi.

Kwa hiyo hakuna utabiri hapo.
 
Badala ya kutabiri the inevitable wangehakikisha wao kama wapiga Kura wanalazimisha watumishi wao (waliopo serikalini) wanafanya kazi yao.., kwa kufanya hayo wala haya yasingetokea....

By the way huyo anayemtokea na kumwambia next time akimtokea amwambia asipoteze muda kumwambia bali aende kuzuia hayo majanga yasitokee
 
Kwa sababu alijua ujenzi wa majengo mengi pale Kariakoo, Hauzingatii viwango vya ujenzi vinavyotakiwa.

Hata hapa JF kuna uzi wa miaka kama miwili iliyopita, Una eleza wazi kwamba majengo mengi Kariakoo hayazingatii viwango vya ujenzi.

Kwa hiyo hakuna utabiri hapo.
Wengi hamuelewi elimu ya rohoni, Nitatoa mfano, Mungu alishawahi kusema nitaangamiza ulimwengu, ila alichokifanya alileta mvua kubwa.

So katika ulimwengu wa mwili watu wangesema ni mvua tu, ni natural cause lakini rohoni ni adhabu ya Mungu.

Shetani akiwa na Ajenda yake ili kuiimplement anatafuta loophole. Inaweza ikawa kweli ni structure failure ya Jengo lakini shetani anaweza akaweka uzito kwa wakaguzi, wenye Jengo ili tu atimize lengo lake - kutoa kafara na nk.,

Ulimwengu wa Roho hutenda kazi na wa mwilini ili kuleta matokeo.

Na kiukweli huu unabii angetoa mzungu au mnaigeria angesikilizwa ila kwa vile akatoa mtanzania watu wanaleta upinzani.

Tembelea Channel yake ya YouTube iitwayo "Apostle Mtalemwa Bushiri" katoa unabii mwingine na yupo kwenye maombi.

Ukitaka kumpata Apostle Mtalemwa alietoa unabii juu ya Janga la Kariakoo.

Mpigie kupitia namba hii.
+255 715 480 722

Ama mtembelee kanisani kwake ECG THE JESUS NATION CHURCH lililoko Makongo Juu Dar es salaam hasa anapatikana siku za J.pili na baada ya ibada uongea na wageni bure bila malipo yoyote
 
Katika nyakati tofauti Apostle Mtalemwa alitoa unabii juu ya maafa yanayoweza kutoka Kariakoo na ilikuwa 21/ 1/ 2024 na alisema hivi kutakuwa na dibeti wakandarasi wafanye hivi wafanye vile is matter of prayer na kumuuliza Mungu turehemu. Niliona ramani ya Nchi imezungukwa na waganga wa kienyeji, sasa wakati naomba jana sasa nikaona gorofa likiyumba hivi watu wakilia vilio likienda chini na kuzuwa gumzo kubwa sana mtandaoni.

Unabii mwengine Apostle Mtalemwa aliutoa 28 Julai, 2024 Alfajiri kabla ya kuamka niliamshwa na maono yafuatayo naona kuna mjumbe wa shetani ambaye ninamuona anaenda kwenye eneo la Kariakoo tena anaenda kutoa kama kafara ili mambo yao yaende ambayo italeta madhara ya kudai roho za watu wasiopungua 110.



Prophet Rolinga yeye alizungumzia eneo la roho za umauti zitaanza kufanya kazi mwishoni mwa 2024 hadi kuelekea 2025 na kuwasii waumi wake kuomba sana.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Je, pindi watu hawa wanapotoa tabiri zao mamlaka zinapazwa kufanya chunguzi zao ili kama kuna viashiria hivyo wafanyie kazi? Malaria 2 njoo hapa utie neno

Kwa sababu ukitazama ni hali ambayo ni kweli imetokea na walisema zaidi ya mara moja! Tushuke hapa sasa tuelewane vizuri zaidi upi mtazamo wako?
Ukitaka kumpata Apostle Mtalemwa alietoa unabii juu ya Janga la Kariakoo.

Mpigie kupitia namba hii.
+255 715 480 722

Ama mtembelee kanisani kwake ECG THE JESUS NATION CHURCH lililoko Makongo Juu Dar es salaam hasa anapatikana siku za J.pili na baada ya ibada uongea na wageni bure bila malipo yoyote
 
Back
Top Bottom