Inaonekana unajua maisha ya watu kuliko wanavyojijua.Shamba la Nyoka ni geresha tu,mwenye tatizo na mumewe ni wewe wala sio eti ulimsindikiza rafiki,sema tu umemshtukia huyo Nabii na hapa unataka kuona tutasemaje,ila nabii kishapita na vihela vyako,umechelewa sana kuamka.
Tunatofautiana akili na jinsi yakutambua mambo,kuna vitu hua viko wazi na vinaonekana tu kama utasoma kwa umakini na kuanalyze,Naona umeamua kuja kunijibu kwa ID yako nyingine!Inaonekana unajua maisha ya watu kuliko wanavyojijua.
unasemaje,,,nikufanye?Na wewe fanya
Tatizo lako linalokusumbua ni moja tu. Una kimbelembele sana.Tunatofautiana akili na jinsi yakutambua mambo,kuna vitu hua viko wazi na vinaonekana tu kama utasoma kwa umakini na kuanalyze,Naona umeamua kuja kunijibu kwa ID yako nyingine!
Naona povu linakutoka kama Nyoka,vp ukweli umekuchoma kama pasi sio? mimi na wewe nani mwenye kimbelembele? muhusika kashindwa kujibu ila wewe umewashwa ukaamua kuja kuutoa upupu wako hapa! Halafu usinipangie cha kucomment,JF is an open forums,ficha ujinga wako kwa kukaa kimya.Tatizo lako linalokusumbua ni moja tu. Una kimbelembele sana.
Yeye kasema alimsindikiza rafiki yake na wewe unasema ni yeye ulikuwepo?, unasema biashara ya nyoka ni geresha tu mbona sio mara yake ya kwanza kuandika kuhusu hao nyoka?
Punguza kimbelembele kama mke wa balozi.
daaah anirushie iyo chupi, ilo pisi akae naloKama huyu
ndio izo izo😅 ikivaa umevaliwaChupi za kuibia nyota
Ha ha ha ha muhusika amekaa kimya? Comment iliyotoka si umesema mimi ndio mtoa mada nimekuja na ID nyingine? Unaona usivyojielewa sasa? Sasa hivi nimekuwa sio mtoa mada tena?Naona povu linakutoka kama Nyoka,vp ukweli umekuchoma kama pasi sio? mimi na wewe nani mwenye kimbelembele? muhusika kashindwa kujibu ila wewe umewashwa ukaamua kuja kuutoa upupu wako hapa! Halafu usinipangie cha kucomment,JF is an open forums,ficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi nilijua tu ni utani, kumbe haya mambo yapo in real life, kwa nini usimshauri rafiki yalo amwamini Mungu, hiyo chupi ya upako ina tofauti gani na hiriziJana nilimsindikiza shostisto wangu kwa nabii. Kilichompeleka yeye ni shida na changamoto za mahusiano yake.
Mume mlevi, mume Malaya Kama mbwa, mume bahili, hajali ndoa Wala familia. Hajali ndugu zake Wala wa mkewe. Mume mgumu Kama ndevu za gaidi wa Mkuranga.
Rafiki yangu huyu aliniomba niandamane naye kwa nabii ili aniangalizie Mambo yangu, kwani tangu kipindi Cha Corona Biashara zangu zimeyumba Sana na hata shamba langu la nyoka [emoji216] ambalo ndilo lilikuwa likiniingizia fedha za kigeni Sasa najihisi kana kwamba linaweza kunishinda kabisa ku operate.
Sasa kila mtu aliingia kwa awamu yake chumbani kwa nabii. Mimi ndiye niliyeanza na Kisha mwenzangu akafuatia.
Nabii alikuwa mchangafu akanitia moyo kuwa hata kampuni kubwa Ulaya zimeanguka, nijipe Moto nitainuka Tena.
Akaniombea nikatoka, akaingia mwenzangu. Mwenzangu huko ndani alikaa zaidi ya saa moja, akatoka nje akaniuliza una laki moja happy unipe ntakurejeshea nyumbani? Nikamjibu cash Nina 75'000/ akasema nipe hizohizo, na Kama unayo balance kwenye simu rusha kwa namba hiii ya nabii. Nikamrushia.
Rafiki akaingia ndani ambako Sasa alikaa Kama dakika Saba Kisha akatoka nje.
Safari ya kuelekea kwenye gari ikaanza, ndipo akaanza kunipa mchapo.
Nabii anatoa chupi za upako ambazo zinasaidia Kama mume hatulii, una ugumba etc. Chupi ni za Holland Wax na unaweza jipatia kwa kadiri utakavyo.
Bei ya kila moja ni laki unusu.
Endeleeni na chupi zenu za upako mi ntapambana na maombi nikilitumia jina la Yeah na damu yake ya thamani na kuoga kwa chumvi ya mawe Kama alivyofundisha Mshana Jr.
Acha kuniletea stress za maisha yako hapa wewe,endelea tu kupambana,au unajipendekeza? mimi sio wale wanaobabaika na hivyo vi Avatar fake,jaribu kuficha ukilaza wako,unaonekana hata IQ yako iko below normal,ndio maana unahangaika ulitaka ni comment kitakachokufurahisha wewe,wazazi wako wana hasara kubwa sana,unaonekana ni kamtu kenye mdomo mchafu na unapenda kurukia rukia kila jambo.Ha ha ha ha muhusika amekaa kimya? Comment iliyotoka si umesema mimi ndio mtoa mada nimekuja na ID nyingine? Unaona usivyojielewa sasa? Sasa hivi nimekuwa sio mtoa mada tena?
Wewe acha tu kimbelembele kama tai. Basi.
Nakuandikia vimstari viwili unashusha gazeti, kwa namna imekuchoma kama pasi.Acha kuniletea stress za maisha yako hapa wewe,endelea tu kupambana,au unajipendekeza? mimi sio wale wanaobabaika na hivyo vi Avatar fake,jaribu kuficha ukilaza wako,unaonekana hata IQ yako iko below normal,ndio maana unahangaika ulitaka ni comment kitakachokufurahisha wewe,wazazi wako wana hasara kubwa sana,unaonekana ni kamtu kenye mdomo mchafu na unapenda kurukia rukia kila jambo.
Kaa pembeni we kiazi, acha kujipendekeza,nimekureject,jaribu kwa wengine,siku nyingine acha kushobokea watu,unadhani kila mtu anashoboka na hivyo vi avatar fake? Pita kule kiazi wewe.Nakuandikia vimstari viwili unashusha gazeti, kwa namna imekuchoma kama pasi.
Acha tu kimbelembele hamna namna.
Kwaiyo.kwenda hospital Ni kumkana yesu?..[emoji16][emoji16][emoji16]...wakiristu jamaniKitu ambacho huwezi kuthibitisha kinaitwa ni porojo.Hizo ni porojo tu.Wazungu wanasonga mbele sisi tunabakia nyuma kuamini vitu ambavyo havipo.
Hii ndiyo tofauti kati ya mzungu na limtu jeusi.Limtu jeusi linaamini katika damu ya Yesu lakini likipata ajali linamkana Yesu na linawahi hospitalini kwenda kufanya xray ambayo ni zao la akili.Limtu jeusi ni mbumbumbu.
[emoji23][emoji23][emoji23]haya mambo hayaKama kakosa ubwabwa na ukoko pia akose!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapi nimesema kuwa mimi ni Mkristo?Nimetumia mfano wa Yesu kwa sababu hii mada inahusu mambo ya unabii ila dini zote ni porojo tu!Sasa unaamini na kuwekeza nguvu nyingi katika kitu ambacho hakikusaidii ili iweje?Kwaiyo.kwenda hospital Ni kumkana yesu?..[emoji16][emoji16][emoji16]...wakiristu jamani
mimi sina ndinga wala hiyo biashara kubwakubwa