Nabii na Mtume Josephati Elias Mwingira wa Efatha ameshitakiwa KISUTU kwa makosa ya Zinaa!!!

Nabii na Mtume Josephati Elias Mwingira wa Efatha ameshitakiwa KISUTU kwa makosa ya Zinaa!!!

Status
Not open for further replies.

KING COBRA

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
2,782
Reaction score
875
Anayejiita Nabii na Mtume Josephati Elias Mwingira kutoka Efatha ameshitakiwa na Dkt Willium Morris kwa kosa la kufanya Zinaa na kuzaa na Mkewe.

Mwingira wa Efatha anatajwa kufanya zinaa na Mke wa Dkt Willium alitwaye Bi Philis Nyimbi mfanyakazi wa Wizara ya afya Songea ambaye anatoka kabila moja na Mwingira.
Zinaa hiyo imetajwa katika hati ya mashitaka kuwa ilifanyika katika hoteli ya Millium Tower ambapo Mwingira alikodisha chumba hapo kwa ajiri ya Maombi ya Deliverence usiku kucha.
Hati ya Mashitaka inazidi kuelezea kuwa Nabii Mwingira amezaa motto na mwanamke huyo na kupewa jina la DAUDI.
Kufautia kashifa hizo Dkt Morris amemtaka Mwingira kulipa fidia ya Tshs7billions na ameiomba mahakama itoe kibali cha Mwingira kwenda kupima DNA.

Kesi hiyo namba306/2013 imepangiwa hakimu Kisutu aitwaye BI HELLEN RIWA na imepagwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza tarehe 12/12/2013..


Tuhuma za kutembea na wake za watu zimemkumba Mwingira baada ya ile ya kwanza ambayo Mwingira alifanya zinaa na mke wa Mbuya na kumwambukiza ugonjwa
Angalia hapa:
Katika kesi hiyo266/2010 Mbuya anatetewa na Wakili Michael Ngalo ambaye anajibu malalamiko ya Josephate Mwingira kama ifuatavyo:
‘That the plantiff's claim and assertion that he is a ‘holy spiritual leader, apostle and prophet' are matters whose varaciy and authenticity are only known to God and cannot be admitted or denied by the defendant but the defendant aver that the plantiff is a Founder and oversee of Efatha Ministry with a tittle of a Managinging director and also a trustee and chairman of its board of trustee of the Registered Trustee of Efatha ministry who in his personal capacity sexually assaulted and raped the Defendant's wife and defiled the defendant house on plot number 548 Kawe Beach Kinondoni DSM in despite of his claim for holiness as a spiritual leader .'


Kwa ufupi Mbuya anamtuhumu Mwingira kuwa amekuwa ana mbaka mkewe aitwaye Bertha Evarist Mbuya kwa nyakati tofauti tangia mwaka 2003 hadi alipotubu mwenyewe mwaka 2009.Maelezo yake yanaonyesha kuwa , Mbuya na Mkewe walijiunga na Kanisa la Efatha na kujitoa katika huduma hiyo kwa kuchangia michango mingi ikiwa ni pamoja na kutoa uwanja katika nyumba aliyojenga Mwingira.Mbuya anasema, mwaka 2009 mkewe( Bertha) alitubu kwake na kumwambia kuwa siku moja mwaka 2003 akiwa kazini ,yeye (mke) alizini na Nabii Josephati Mwingira ndani ya nyumba yao iliyopo karibu na nyumba ya Mwingira!!!

Bertha alimweleza Mbuya kuwa aliamua kutubu baada ya kupata ugonjwa mbaya uliomusumbua kwa muda wa miaka mitatu ambapo katika kumwomba Mungu alisikia sauti ikimwambia ili apone ni lazima atubu dhambi ya uzinzi kwa mumewe.
Baada ya kusikia hayo Mbuya na mkewe walikwenda kumukabili Nabii Josephati Mwingira na kumukuta yupo na Mkwewe (Elikunda Mwingira). Bertha aliweka wazi uzinzi aliofanya na Mwingira mbele ya kikao cha watu wane ambapo Mke wa Mwingira alikiri kusikia habari za uzinzi huo na Bertha alomba radhi kwa Elikunda (mke wa Mwingira) ambapo alimusamehe lakini Mwingira hakujibu chochote.
 
Naona nae kashupaliwa....hahahaaaaa....vitabu vitakatifu vinasema ikimbieni zinaa.... Jamaa alishindwa barabara ilikuwa mbovu...
 
case na 306 /2013 kwa hakimu Riwa ,inasikilizwa 12/12/2013
 
Tatizo lenu mmesoma lakini hamkuelimika
Kichwani hamna kitu hamjui kuwa ukristo umeletwa kwa waafrika kumtumikia mzungu
Utaliona jitu kubwa na suti yake tena dikta au proffessa jumapili huyoooo kwa mitume na manabii !!! Khaaaaa basi umesoma hata hujiulizi huyu nnabii anatoka wapi ?kweli yesu alisema atakuja mtume mwengine ? Kweli hawa watu ni manabii? Na nabii haswa ni nini ? Ni nani nabii ?
Mtume je ni nani? Utume unapatikana vipi?
Lakini mnaenda tu kama gari bovu halina breki
Umepewa akili kuitumia kufikiri na kuamua sio kuamini kiini macho cha mjini ndio unabii
Watakulieni wake zenu na watoto zenu na pesa mtawapa huku wakikwambieni dhambi zinaondoka kwa kumtia
Wajinga ndio waliwao
 
Mtume nabiii!!! Yaani dunia kweli kushnehii hawa tunaowategemea kuchunga kondoo ndio zipu zimekatika
 
Hata shetani ana manabii na malaika na watume. Mwingira ni mmojawapo wa hawa wa shetani. Yupo binti mmoja wa miaka kumi na tano aliyepelekwa na mamaye akaombewe na mbwa Mwingira. binti aliporudi alisema mbona mtume muda wote wa maombi amenifungua sidiria na kuweka kichwa chake katikati ya matiti. HUYO NDIO MWINGIRA. UKIMRUHUSU MKEO AU BINTIYO AKASALI AU KUKOPA KWA MWINGIRA UJUE NA UKAPUYA/GRIDI UMEUPATA
 
mngoni mpe pesa mzigo utafika salama salimini sio "MWANAMKE"hafiki salama ng'o
 
Ivi kwa nini baraza la MAASKOFU TZ halikemei tabia hizi za MITUME BANDIA wazinifu wabakaji wachafuzi wa ndoa za watu waharibifu wa wtt wa watu wezi wa pesa za waumini wao wauza sembe wakubwa.MITUME MICHAFU.inashangaza kuona maaskofu wakiwahi kuikemea serikali na vyombo vya dola lakini wakichelewa/wakisita kukemea uchafu wa wanao jiita watumishi wa mungu na mitume na manabii. Hivi MAASKOFU hawaoni huu uchafuzi wa dini yakikiristo inavyo pakwa matope na wajinga kama hawa kina MWINGIRA?
 
Hawa manabii wa uongo watamaliza wake zetu...!
 
Anayejiita Nabii na Mtume Josephati Elias Mwingira kutoka Efatha ameshitakiwa na Dkt Willium Morris kwa kosa la kufanya Zinaa na kuzaa na Mkewe.

Mwingira wa Efatha anatajwa kufanya zinaa na Mke wa Dkt Willium alitwaye Bi Philis Nyimbi mfanyakazi wa Wizara ya afya Songea ambaye anatoka kabila moja na Mwingira.
Zinaa hiyo imetajwa katika hati ya mashitaka kuwa ilifanyika katika hoteli ya Millium Tower ambapo Mwingira alikodisha chumba hapo kwa ajiri ya Maombi ya Deliverence usiku kucha.
Hati ya Mashitaka inazidi kuelezea kuwa Nabii Mwingira amezaa motto na mwanamke huyo na kupewa jina la DAUDI.
Kufautia kashifa hizo Dkt Morris amemtaka Mwingira kulipa fidia ya Tshs7billions na ameiomba mahakama itoe kibali cha Mwingira kwenda kupima DNA.

Kesi hiyo namba306/2013 imepangiwa hakimu Kisutu aitwaye BI HELLEN RIWA na imepagwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza tarehe 12/12/2013..


Tuhuma za kutembea na wake za watu zimemkumba Mwingira baada ya ile ya kwanza ambayo Mwingira alifanya zinaa na mke wa Mbuya na kumwambukiza ugonjwa
Angalia hapa:
Katika kesi hiyo266/2010 Mbuya anatetewa na Wakili Michael Ngalo ambaye anajibu malalamiko ya Josephate Mwingira kama ifuatavyo:
‘That the plantiff’s claim and assertion that he is a ‘holy spiritual leader, apostle and prophet’ are matters whose varaciy and authenticity are only known to God and cannot be admitted or denied by the defendant but the defendant aver that the plantiff is a Founder and oversee of Efatha Ministry with a tittle of a Managinging director and also a trustee and chairman of its board of trustee of the Registered Trustee of Efatha ministry who in his personal capacity sexually assaulted and raped the Defendant’s wife and defiled the defendant house on plot number 548 Kawe Beach Kinondoni DSM in despite of his claim for holiness as a spiritual leader .’


Kwa ufupi Mbuya anamtuhumu Mwingira kuwa amekuwa ana mbaka mkewe aitwaye Bertha Evarist Mbuya kwa nyakati tofauti tangia mwaka 2003 hadi alipotubu mwenyewe mwaka 2009.Maelezo yake yanaonyesha kuwa , Mbuya na Mkewe walijiunga na Kanisa la Efatha na kujitoa katika huduma hiyo kwa kuchangia michango mingi ikiwa ni pamoja na kutoa uwanja katika nyumba aliyojenga Mwingira.Mbuya anasema, mwaka 2009 mkewe( Bertha) alitubu kwake na kumwambia kuwa siku moja mwaka 2003 akiwa kazini ,yeye (mke) alizini na Nabii Josephati Mwingira ndani ya nyumba yao iliyopo karibu na nyumba ya Mwingira!!!

Bertha alimweleza Mbuya kuwa aliamua kutubu baada ya kupata ugonjwa mbaya uliomusumbua kwa muda wa miaka mitatu ambapo katika kumwomba Mungu alisikia sauti ikimwambia ili apone ni lazima atubu dhambi ya uzinzi kwa mumewe.
Baada ya kusikia hayo Mbuya na mkewe walikwenda kumukabili Nabii Josephati Mwingira na kumukuta yupo na Mkwewe (Elikunda Mwingira). Bertha aliweka wazi uzinzi aliofanya na Mwingira mbele ya kikao cha watu wane ambapo Mke wa Mwingira alikiri kusikia habari za uzinzi huo na Bertha alomba radhi kwa Elikunda (mke wa Mwingira) ambapo alimusamehe lakini Mwingira hakujibu chochote.

Ur not serious ..
Of all watumishi wa Tanzania Mwingira is different.
He is the most prosperous Apostle in Tz na mafundisho yake + ibada Zake huwezi fananisha na Watumishi wengine wa bongo.
I have come to realize most of people talk talk but never walk the walk.
 
Ni mwaka wa manabii wa uongo kuaibika! Oooh haleluyaaaaahh!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom