Nabii na Mtume Mwamposa karibu hapa Zanzibar uujaze uwanja wa amani

Nabii na Mtume Mwamposa karibu hapa Zanzibar uujaze uwanja wa amani

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Nitakuwepo hapa Zanzibar kwa majukumu unguja na pemba kwa wiki kadhaa. Nimegundua wengi wa wakazi wa hapa walienda uwanja wa Mkapa Dar es salaam kwa ajili ya ibada ya vuka na chako.

Ni dhahiri watu wengi hapa wanaihitaji sana huduma yako hivyo fanya hima uweze kuja na kuujaza uwanja wa amani kwa injili ya Yesu Kristo wa Nazareth.
 
Nitakuwepo hapa Zanzibar kwa majukumu unguja na pemba kwa wiki kadhaa. Nimegundua wengi wa wakazi wa hapa walienda uwanja wa Mkapa Dar es salaam kwa ajili ya ibada ya vuka na chako.

Ni dhahiri watu wengi hapa wanaihitaji sana huduma yako hivyo fanya hima uweze kuja na kuujaza uwanja wa amani kwa injili ya Yesu Kristo wa Nazareth.
Masheikh ndio wajaze huo uwanja.
 
Subiri hakutane na mapepo ya kikojani na kiarabu huku waki msomea tasibii
 
Ni wakati sasa wazenji wakanyage mafuta mapepo/majini ya waarabu yawatoke nao walikiri jina la Yesu Kristo kupitia mtume na nabii Dokta Mwamposa a.k.a Bulldoza
Hakika, Zanzibar yote kwa Yesu Kristo.
 
Subiri hakutane na mapepo ya kikojani na kiarabu huku waki msomea tasibii
zanzibar inatakiwa iwe kama bara, ni aibu dini moja kuabudiwa na wengi imekuwa kama utamaduni wa taifa
 
Vipi kuhusu mafia mkoani lindi atafika lini? Itapendeza sana kama atafika mafia na kilwa
 
Back
Top Bottom