Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Masheikh ndio wajaze huo uwanja.Nitakuwepo hapa Zanzibar kwa majukumu unguja na pemba kwa wiki kadhaa. Nimegundua wengi wa wakazi wa hapa walienda uwanja wa Mkapa Dar es salaam kwa ajili ya ibada ya vuka na chako.
Ni dhahiri watu wengi hapa wanaihitaji sana huduma yako hivyo fanya hima uweze kuja na kuujaza uwanja wa amani kwa injili ya Yesu Kristo wa Nazareth.
Una uhakika na hiki usemacho?haweza kwenda kule hakuna wajinga
Wewe kama unajiamini na Binti yako nipe namba zake Pm.Hao hawajiamini na dini yao watamnyima kibali
Hata pale kawe wanaoujaza ni haohao.Masheikh ndio wajaze huo uwanja.
Jina la Yesu Kristo litayasambaratisha.Subiri hakutane na mapepo ya kikojani na kiarabu huku waki msomea tasibii
Neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi bali kwao wanaookolewa ni nguvu za Mungu.haweza kwenda kule hakuna wajinga
Hakika, Zanzibar yote kwa Yesu Kristo.Ni wakati sasa wazenji wakanyage mafuta mapepo/majini ya waarabu yawatoke nao walikiri jina la Yesu Kristo kupitia mtume na nabii Dokta Mwamposa a.k.a Bulldoza
Kwanini? Bulldozer akiwa na jina la Yesu Kristo atapita popote.Hawez jaribu
zanzibar inatakiwa iwe kama bara, ni aibu dini moja kuabudiwa na wengi imekuwa kama utamaduni wa taifaSubiri hakutane na mapepo ya kikojani na kiarabu huku waki msomea tasibii
Watu wake wataona hapa na kuweka mipango.Vipi kuhusu mafia mkoani lindi atafika lini? Itapendeza sana kama atafika mafia na kilwa