Nabii Shepherd Bushiri ametoka mbali aisee. Hamna utajiri unàtokana na kuembewa, ila utatajirika kwa kuvitumia vyema vipaji vyako na ufala wa watu.

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Huyu jamaa hajatajirika kwa kuombewa, amesota hadi akajua kutabiri.
Aktafuta ka angle ambako ana ku screen hadi bibi na babu yako shamba huko, akaanza kutengeneza mpunga.

Kamwe huwezi kutajirika kwa kuombewa, ila kwa kutumia karama na vipaji ulivyopewa na Mwenyezi Mungu.
 
Afrika Kusini wanamtaka kwa hali na mali, wanadai alitapeli huko.
 
Bado haujalala au ndio umeamka..?
 
Usidanganye watu , Africa ni ngumu kutajirika bila Janja Janja ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…