Uchaguzi 2020 Nabii Shillah: Uchaguzi huu patachimbika. Itapigwa kampeni angani, baharini mpaka nchi kavu

Uchaguzi 2020 Nabii Shillah: Uchaguzi huu patachimbika. Itapigwa kampeni angani, baharini mpaka nchi kavu

Huyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.

Aliyeshinda kura za maoni naye ana nguvu chama kina mtihani mkubwa sana kilombero.
 
muhimu kuwaeleza watz wakirudia kosa wamekwisha kwanza hakuna pesa za kukamilisha miradi tumeshafika mwisho wa kukopa hakuna mradi utakaokamilika hata wakipewa miaka 100,hawana mahusiano mema na mabeberu ili wawape pesa,pesa za ndani zinatosha kulipia mishahara tu.Zaidi ya propaganda na kuzuia habari hawawezi hawa
 
kitanda kwa kitanda mtu na mtu.
TUKIRUDIA KOSA TUMEKWIISHA TUTAMSWALIA MTUME TUTALIMIA KUCHA
 
Hapo mtihani upo wapi? Si inabidi apite aliyeshinda kura za maoni?
Huyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.

Aliyeshinda kura za maoni naye ana nguvu chama kina mtihani mkubwa sana kilombero.
 
muhimu kuwaeleza watz wakirudia kosa wamekwisha kwanza hakuna pesa za kukamilisha miradi tumeshafika mwisho wa kukopa hakuna mradi utakaokamilika hata wakipewa miaka 100,hawana mahusiano mema na mabeberu ili wawape pesa,pesa za ndani zinatosha kulipia mishahara tu.Zaidi ya propaganda na kuzuia habari hawawezi hawa
Unamaanisha serikali ya ccm imeshakatika pumzi
 
Huyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.

Aliyeshinda kura za maoni naye ana nguvu chama kina mtihani mkubwa sana kilombero.
Sasa mtihan uko wapi hapo
 
Mtihani ni ile kuamua kurudia uchaguzi, kuna wasi wasi wakimkata yeyote mwingine ataenda ACT atagawa kura za jimbo ccm atapita kiulaini
Kuna uraratibu wa kugawana majimbo CDM na act unakuja.


Kuwa na subira.
 
Back
Top Bottom