Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alionyeshwa karanga akaingizwa kingi,toka lini waliokufunga wakawa wema kwako anatamani siku zirudi nyumaLijualikali akisikia hivyo anatamani apasuke
Aendelee kufanya mazoezi ya kuwa dasLijualikali akisikia hivyo anatamani apasuke
Huyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.
Teuzi zimejaaAendelee kufanya mazoezi ya kuwa das
Shilla ashapitishwaHuyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.
Aliyeshinda kura za maoni naye ana nguvu chama kina mtihani mkubwa sana kilombero.
Lini ?Shilla ashapitishwa
Magufuli hawezi kushinda uchaguzi huu , hatoweza kuteua , chukua hili neno kwa ajili ya matumizi mtambukaAendelee kufanya mazoezi ya kuwa das
Huyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.
Aliyeshinda kura za maoni naye ana nguvu chama kina mtihani mkubwa sana kilombero.
Unamaanisha serikali ya ccm imeshakatika pumzimuhimu kuwaeleza watz wakirudia kosa wamekwisha kwanza hakuna pesa za kukamilisha miradi tumeshafika mwisho wa kukopa hakuna mradi utakaokamilika hata wakipewa miaka 100,hawana mahusiano mema na mabeberu ili wawape pesa,pesa za ndani zinatosha kulipia mishahara tu.Zaidi ya propaganda na kuzuia habari hawawezi hawa
Utawala huu uliokengeuka ukirudi madarakani watanzania tutajutakitanda kwa kitanda mtu na mtu.
TUKIRUDIA KOSA TUMEKWIISHA TUTAMSWALIA MTUME TUTALIMIA KUCHA
Sasa mtihan uko wapi hapoHuyu dogo anajipigia kampeni apitishwe na chama kugombea maana bado jimbo halijapata mgombea.
Aliyeshinda kura za maoni naye ana nguvu chama kina mtihani mkubwa sana kilombero.
Mtihani ni ile kuamua kurudia uchaguzi, kuna wasi wasi wakimkata yeyote mwingine ataenda ACT atagawa kura za jimbo ccm atapita kiulainiSasa mtihan uko wapi hapo
Kuna uraratibu wa kugawana majimbo CDM na act unakuja.Mtihani ni ile kuamua kurudia uchaguzi, kuna wasi wasi wakimkata yeyote mwingine ataenda ACT atagawa kura za jimbo ccm atapita kiulaini