Nabii Suguye akamatwe na ahojiwe Kwa kielelezo hiki!

Nabii Suguye akamatwe na ahojiwe Kwa kielelezo hiki!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Screenshot_20221002-160211.jpg

Naombeni polisi msilifumbie macho jambo hili linazidi kuota mizizi na hatari Kwa nchi na vizazi vijavyo, Suguye anatangaza watu wapeleke kucha. Nywele za karibu na sikio la kulia kucha za vidole huo ni zaidi ya uchawi na nisawa na kuhitaji viungo vya binadamu Kwa ajili ya maombi, nywele na kucha ni viungo vya binadamu ahojiwe kama alivyokamatwa zumaridi mkikaa kimya na wakati ushahidi hamuisaidii nchi hiii Hawa manabii wataharibu nchi yetu sooni mjumbe hauwawi
 
Hawa jamaa wameshajua waumini wao wanapenda kusikia nini, sasa wanajitahidi kufanya kile waumini wao wanachopenda kukisikia, ikibidi na zaidi.

Hiki anachofanya huyu Suguye kutaka kucha za watu, hakina tofauti yoyote na mganga wa kienyeji mwenye masharti ya aina hiyo.

Chanzo cha haya ni wengi wanaokwenda kwenye hayo makanisa wanawaza miujiza pekee, wakati hawamjui hata Yesu mwenyewe, badala ya kumtafuta Yesu Kristu kwasababu yeye ndie mtenda miujiza, wao wanaitafuta miujiza huku hawamjui Yesu.

Ajabu ukiwauliza waumini wake watakaopeleka hizo kucha mganga wa kweli ni nani? wote watakujibu Yesuuu! hawa kwa ujinga wao, wanaanza mpaka kumchafua yule wanayedai kumuabudu.

Sasa sijui ni wapi Yesu Kristu aliwahi kuagiza kucha za wale waliokuwa na matatizo ili awasaidie, kama yupo mwenye kulijua hilo andiko kwenye biblia anisaidie.
 
Shekhe wako amekamatwa lini kwa kufukia mbuzi akiwa hai


USSR
 
Dah, mbona huu upumbavu umekuwa mwingi
Serikali inapaswa kuingilia kati huu utapeli wa hawa washenzi
Taifa linaangamia
Tuwe kama Rwanda
 
Tulinde na kuheshimu uhuru wa watu wote katika nchi yetu
 
suguye anatangaza watu wapeleke kucha.nywele za karibu na sikio la kulia kucha za vidole huo ni zaidi ya uchawi na nisawa na kuhitaji viungo vya binadamu Kwa ajili ya maombi ,nywele na kucha ni viungo vya binadamu ahojiwe kama alivyokamatwa zumaridi mkikaa kimya na wakati ushahidi hamuisaidii nchi hiii Hawa manabii wataharibu nchi yetu sooni mjumbe hauwawi
Serikali haitambui uchawi
 
Sasa suguye na mzee wa kawe wanatofauti gani kimatendo?
 
Hawa ndio watu wanaita civilisation.Kuchoma kucha na nywele.Kweli wajinga wengi sana.
 
najaribu kufikiri namna ya kutofautisha ushirikina na haya yanayofanywa.

Inawezekana binadamu wasasa sio waoga kabisa na wako tayari kufanya utapeli hata kwa kutumia majina ya manabii.
 
Wacha wapeleke hata mavuzi ya tigo zao.
Ujinga ni wa kwao wacha watu wale pesa zao kilaini huku wao wakipakua na kufubaa.
 
Akamatwe kwa kosa gani?

Umeona mahali hapo kasema atapita kunyoa watu majumbani kwao au kuwakata kucha majumbani mwao?

Imani ni suala la hiyari na utayari wewe usipeleke waache waliolengwa wapeleke just like that mind your own business.
 
Back
Top Bottom