Nachanganya ndizi tunda za kuiva na supu ya nyama ama pweza

Nachanganya ndizi tunda za kuiva na supu ya nyama ama pweza

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu inahitaji chumvi so haifai kuchanganya sukari na chumvi sijui sayansi yake ya wapi mbona me sijaliona tatizo hapo Kwangu me inatembea vizuri tu maana Ndizi ni tunda linalotumika sana ambalo linaweza kuliwa wakati wowote wa siku, bila kujali umekula nini hapo awali. Ndizi zina lishe na ni rahisi kusaga,zina potassium Kwa wingi sana kama sijakosea hivyo basi ni chaguo zuri jisikie huru kufurahia ndizi wakati wowote unapopenda, iwe ni kabla, baada ya, au wakati wa chakula.
 

Attachments

  • DSC_0264.JPG
    DSC_0264.JPG
    1.7 MB · Views: 16
  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    34.8 KB · Views: 21
Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu inahitaji chumvi so haifai kuchanganya sukari na chumvi sijui sayansi yake ya wapi mbona me sijaliona tatizo hapo Kwangu me inatembea vizuri tu maana Ndizi ni tunda linalotumika sana ambalo linaweza kuliwa wakati wowote wa siku, bila kujali umekula nini hapo awali. Ndizi zina lishe na ni rahisi kusaga,zina potassium Kwa wingi sana kama sijakosea hivyo basi ni chaguo zuri jisikie huru kufurahia ndizi wakati wowote unapopenda, iwe ni kabla, baada ya, au wakati wa chakula.
Mkuu kuna kitu unatafuta, na yai lipo ndani? Hakikisha umekaa pekeyako lkn nakuhakikishia hata ww mwenyewe utajikataa
 
Mkuu kuna kitu unatafuta, na yai lipo ndani? Hakikisha umekaa pekeyako lkn nakuhakikishia hata ww mwenyewe utajikataa
Yeah. Manake ukishakula nakuufurahia mchanganyiko huo, ukatulia baada ya nusu saa hivi fujo itatamalaki tumboni, jamaa utakuwa unapumua kwa pua na kwa naniliu sana mara kwa mara halafu hiyo harufu..........
 
Si utumie viagra tuu au sijui vumbi la mcongo , unahangaika sana naona
 
Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu inahitaji chumvi so haifai kuchanganya sukari na chumvi sijui sayansi yake ya wapi mbona me sijaliona tatizo hapo Kwangu me inatembea vizuri tu maana Ndizi ni tunda linalotumika sana ambalo linaweza kuliwa wakati wowote wa siku, bila kujali umekula nini hapo awali. Ndizi zina lishe na ni rahisi kusaga,zina potassium Kwa wingi sana kama sijakosea hivyo basi ni chaguo zuri jisikie huru kufurahia ndizi wakati wowote unapopenda, iwe ni kabla, baada ya, au wakati wa chakula.
unaataka kugungua nini mkuu?
 
Back
Top Bottom