Nachanganyikiwa Nisaidieni, Nina Matatizo Makubwa Ya Kimapenzi

Nachanganyikiwa Nisaidieni, Nina Matatizo Makubwa Ya Kimapenzi

tuchunge mipaka yetu na hawa tunaowaita marafiki...
 
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada mwingine ambaye nilikuwa naelekea kuanza uhusiano naye, kwani alinambaia kwamba yuko single. Kilochotokea ni kupigiwa simu kutishiwa maisha na mtu aliyejitambulisha kama boyfriend wa huyo mdada. Sikutaka kujua nini wala nini ilinibidi nikimbie kwani nilithamini sana uhai wangu. Hivi majuzi tu, nimekutana na mdada ambaye nimetokea kumpenda na tumewasiliana vizuri kweli, she has made me very happy just reading from her na kuingiwa na matumaini kwamba nimempata mwenza. Kilichobakia ni mimi na yeye kuzungumzia maisha ya baadae na kujuana vizuri. Hii excitement ilinibidi nimishirikishe shangazi yangu na hata rafiki wa karibu. Kwa bahati mbaya baada ya kumwambia rafiki yangu kumhusu huyu mdada, alistuka na kunyamaza. Alipofika nyumbani alinitumia ujumbe ulionistua kweli akiniambia kwamba mie ni kichaa, mbona nashobokea mademu wake? Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake. Wanajamvini, sikufahamu kwamba huyo mdada niliyekutana naye alishawahi kutoka na rafiki yangu. Baada ya kumwelezea, huyu dada alikuja juu na hata kunitukana badala ya kuniuliza the whole stori

Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China

Pole sana kaka, ndo ukubwa. hao mawaziri inabidi wakatwe nyeti zao
 
Achana kwanza na mademu hao wa mtaa wa pili...tafuta demu mwingine mbali na hapo then tuone itakuwaje...naoba hapo mademu wa hapo wameshakubuhu tayari achana nao....
 
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada mwingine ambaye nilikuwa naelekea kuanza uhusiano naye, kwani alinambaia kwamba yuko single. Kilochotokea ni kupigiwa simu kutishiwa maisha na mtu aliyejitambulisha kama boyfriend wa huyo mdada. Sikutaka kujua nini wala nini ilinibidi nikimbie kwani nilithamini sana uhai wangu. Hivi majuzi tu, nimekutana na mdada ambaye nimetokea kumpenda na tumewasiliana vizuri kweli, she has made me very happy just reading from her na kuingiwa na matumaini kwamba nimempata mwenza. Kilichobakia ni mimi na yeye kuzungumzia maisha ya baadae na kujuana vizuri. Hii excitement ilinibidi nimishirikishe shangazi yangu na hata rafiki wa karibu. Kwa bahati mbaya baada ya kumwambia rafiki yangu kumhusu huyu mdada, alistuka na kunyamaza. Alipofika nyumbani alinitumia ujumbe ulionistua kweli akiniambia kwamba mie ni kichaa, mbona nashobokea mademu wake? Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake. Wanajamvini, sikufahamu kwamba huyo mdada niliyekutana naye alishawahi kutoka na rafiki yangu. Baada ya kumwelezea, huyu dada alikuja juu na hata kunitukana badala ya kuniuliza the whole stori

Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China

Mkuu,
Tatizo lako ni kitu kimoja, sahamani sihukumu ila mademu unaowapata wote ni machangudoa. Hata huyu wa mwisho ni changudoa aliyekubuhu, inakuwaje rafiki yako ameshamlamba?
 
Pole sana mkuu!unajua mungu anakupenda sana!ungeoa halafu huyo rafiki yako aendelee kutoka na huyo mkeo ingekua balaa haswa!ungechanganyikiwa!ushukuru ni mungu alikuonyesha njia mapema!

Halafu mkuu kutafuta mke si sawa na kutafuta Girl friend!wewe unatafuta mama wa watoto wako!ukichukua mademu kiwango sana ndio matatizo yake!wazuri wanafuatiliwa na wengi.mtafute wa kawaida tu kaka!

Kila la heri
 
imeandikwa hivi katika mithali " Maandalio ya moyo ni ya mwanadamu, bali jawabu la ulimi hutoka kwa Bwana" Mungu anataka kukufundisha jambo, hembu kaa utulie, tuliza akili kaka, Mungu ni mwaminifu!!! hayo yote ni majaribu tu ambayo yanamlango wa kutokea, kwani pia imeandikwa, "niite nami nitakuitika, nami nitakuonyesha mambo makubwa na magumu usiyoyajua"
 
Nazidi kushawishika niandike kitabu cha mambo ya uchumba (sio ndoa)
Hivi mtu utalalamikaje kuwa niliye naye nimegundua alikuwa na uhusiano? what did you expect? Hivi unatarajia kuwa ni rahisi sana ukutane na msichana/mvulana mzuri, alafu asiwe na mtu? Hivi wewe ni nani ndo utarajie kuwa wazuri utawaona wewe tu?
Kama wewe ni mfanyabiashara, unajua kuwa hata ukitaka kukodi frame, utaishindania na wafanyabiashara wenzio kadhaa, na ujanja na hela yako ndiyo itakayokutoa.

Hivi we unataka uje ukute msichana ambaye hana mtu kabisa ndo uanze nae! Kama ndivyo tegemea kukutana na nungayembe, tena garasa la kutupa. Kwa taarifa yako kila mdada mzuri ambaye ahjajiwekea kipingamizi, ana mwanaume wake mmoja au zaidi, waukwel, na wengine kadhaa walioko reserve list, wanaosubir kuingia uwanjani saa yeyote. Sasa wewe unataka usajiliwe leo, uanze kuchezea kikosi cha kwanza leo leo? kwani unadhani we nani hadi ukubaliwe wewe kama wengine wote walikataliwa?

Yani umenisikitisha sana, tena ngoja niianzishie thread kabisa ili na wenzio wasije tena na matatizo kama hayo siku nyingine?
 
poleeeeeeeee! saaana! bt kuwa makini,hususani kipindi kutafuta mke wa kuishi naye
 
Nazidi kushawishika niandike kitabu cha mambo ya uchumba (sio ndoa)
Hivi mtu utalalamikaje kuwa niliye naye nimegundua alikuwa na uhusiano? what did you expect? Hivi unatarajia kuwa ni rahisi sana ukutane na msichana/mvulana mzuri, alafu asiwe na mtu? Hivi wewe ni nani ndo utarajie kuwa wazuri utawaona wewe tu?
Kama wewe ni mfanyabiashara, unajua kuwa hata ukitaka kukodi frame, utaishindania na wafanyabiashara wenzio kadhaa, na ujanja na hela yako ndiyo itakayokutoa.

Hivi we unataka uje ukute msichana ambaye hana mtu kabisa ndo uanze nae! Kama ndivyo tegemea kukutana na nungayembe, tena garasa la kutupa. Kwa taarifa yako kila mdada mzuri ambaye ahjajiwekea kipingamizi, ana mwanaume wake mmoja au zaidi, waukwel, na wengine kadhaa walioko reserve list, wanaosubir kuingia uwanjani saa yeyote. Sasa wewe unataka usajiliwe leo, uanze kuchezea kikosi cha kwanza leo leo? kwani unadhani we nani hadi ukubaliwe wewe kama wengine wote walikataliwa?

Yani umenisikitisha sana, tena ngoja niianzishie thread kabisa ili na wenzio wasije tena na matatizo kama hayo siku nyingine?

wewe lazima hii post imekuuma, vinginevyo una frustration na hii kazi ya kulambwa na wanaume umeipitia sana either through ujasiriamali au ni asili yako tu. vinginevyo wewe na mtoa mado mnarushiana madongo
 
Tangu 2008, nimekuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana na tulitarajia kuona, bahati mbaya akatembea na waziri mmoja kijana, nilipogundua ilinibidi niachane naye. Baada ya hapo nikakutana na mdada mwingine ambaye nilikuwa naelekea kuanza uhusiano naye, kwani alinambaia kwamba yuko single. Kilochotokea ni kupigiwa simu kutishiwa maisha na mtu aliyejitambulisha kama boyfriend wa huyo mdada. Sikutaka kujua nini wala nini ilinibidi nikimbie kwani nilithamini sana uhai wangu. Hivi majuzi tu, nimekutana na mdada ambaye nimetokea kumpenda na tumewasiliana vizuri kweli, she has made me very happy just reading from her na kuingiwa na matumaini kwamba nimempata mwenza. Kilichobakia ni mimi na yeye kuzungumzia maisha ya baadae na kujuana vizuri. Hii excitement ilinibidi nimishirikishe shangazi yangu na hata rafiki wa karibu. Kwa bahati mbaya baada ya kumwambia rafiki yangu kumhusu huyu mdada, alistuka na kunyamaza. Alipofika nyumbani alinitumia ujumbe ulionistua kweli akiniambia kwamba mie ni kichaa, mbona nashobokea mademu wake? Sikumwelewa, kesho yake kaja kwangu na kuanza maneno maneno mengi na makali sana, heti sina adabu, kila mara natafuta mademu wake. Wanajamvini, sikufahamu kwamba huyo mdada niliyekutana naye alishawahi kutoka na rafiki yangu. Baada ya kumwelezea, huyu dada alikuja juu na hata kunitukana badala ya kuniuliza the whole stori

Concern:
Ni kwa nini kila mdada ninayekutana naye kitu kibaya kinatokea kama hivi? Naombeni maoni yenu. Kwani huyu dada wa mwisho nilitegemea kuwa dream girl mwenye qualities zote. Na kusema kweli, mimi siyo cheater, I have never cheated, and very laid back. I get alot of women come to me, but I am very scared. Hii incident ya mwisho imeniogopesha zaidi nachanganyikiwa sijui la kufanya

Engineer | Ministry of Infrastructure
Currently in China
njoo uku mwaya upumzke......du au una jin mahaba wewe?NJOO MIMI NTAMPUNGA....
 
Engineer nakushauri ukaoge maji ya bahari au kutawazia maji ya ukoko wa ugali au kutawazia tui la nazi naona wewe una mikosi inakuandama kwenye mapenzi

Nachokushauri ni kwamba kwa kuwa umesoma na una kazi na labda mshahara na maisha mazuri mademu wengi watakubabaikia kwa kuona hivyo vitu ulivyo navyo lakini hawana upendo wa dhati (material girls) na inaonekana wewe unapenda mademu wa class flani ya juu hivi ndio maana unaishia kuumizwa, cha msingi tafuta wasichana wa kawaida wenye quality za kuwa mke ambao wanapatikana makanisani na sehemu nyingine zenye heshima. Pia kama ukipata msichana usimwonyeshe kuwa wewe ni nani jaribu kumfanya akupende kabla hajajua uwezo wako
 
Mke mwema hutako kwa Mungu
hao waliotangulia uliwachagua kwa akili na macho ya kibinadamu
Subiri Mungu atakuchagulia ubavu wako tatizo una haraka sana kijana
 
Pole sana rafiki,nakushauri usirudie tena kutafuta mchumba kwa kutumia akili zako,mshirikishe MUNGU,mwombe yeye atakupa mchumba atakaekuwa mke mwema kwako.pia usisikitike sana,tambua kati ya hao hakuna ubavu wako.MUNGU ana makusudi,hataki kukupa mtu atakae kuwa mwiba kwako,ndo mana anakuepushia mapema.Jipange sawa sawa.
 
Pole kwa yaliyokukuta ni challenge kwenye maisha kwa ujumla hakuna kinachopatika kirahisi hivyo kila mmoja amepitia changamoto mbalimbali katika kufanikiwa kwake......... use those challenges as the way to success!!!
 
Hey!
Kuna mambo mengi ya kawaida unapotafuta msichana ama mvulana ambae unahisi atakufaa kuwa wako wa maisha.
Hakuna profesa kwenye mapenzi,na hakuna tafasiri ama utaratibu wa moja kwa moja jinsi gani umpate mwenzi wa maisha.Yote kwa yote Mara nyingi uzoefu humfanya mtu atambue wapi huwa anashindwa na wapi hushinda.Bila shaka sipati shaka kwa nini unaangukia pua mara kwa mara.
Kwanza ni engineer,sisemi nadharau ma engineer la hasha ni kwa sababu engineers wengi ni wa kweli so mdada akishakusoma anaji "tune" illi uingie kichwa kichwa akubamize. Sipendi kukuhukum braza ila nahisi speed zako nyingi zinatokana na Matumizi na wanawake wengi unaokutana nao ni ktk mazingira ya matumizi,so hutegemi kuvuna mahindi wakati unapanga mihogo.
Masharobaro wengi na wadada duu wengi huishia kuwa na mahusiano ya Jua na mwezi,kwanza hawapatani(kwene ndoa) pili ili kusudi ku exist mmoja lazima mwengine asiwepo.So kwako wewe inabidi uatmbue mazingira ya jinsi unavyoanzisha mahusiano,na pili kikubwa zaidi hutakiwi kulazimisha mapenzi,mke ama mchumba ya paswa kuwa ni natural relationship yaani kila mtu kaamua kuwa na mwenzie kwa uhiari wa moyo na si ushawishi. Angalia mapito yako maana wewe wazijua zako njia,tafakari kwa kuangalia wapi palienda kombo na mwisho fanya jitihada za kufanya marekebisho ama kwa kubadili mlolongo zalishi wa mahusiano ama kusubiri bahati yako itakapokufikia mlangoni!!
Ni hayo tuu Mkubwa..........Karibu kwa Babu Loliondo
 
RUDI BUSH UOE KAKA.
okey ngoja niwe serious;
1. usihisi umetafuta wengi, endeleza mchakato
2. usishoboke sana unapopata demu
3. acha woga, hizo biti sometimes zakawaida, msome demu
4. utafiti mapema mara umpatapo demu
 
Nilivyosoma hii story inaelekea wewe unachukua mademu around yur community ndio maana hata rafiki yako alishapita na alikuwambia kuwa demu wake,au inawezekana rafikkiii yako anamtaka huyu mwanamke,,marafiki wengine wa maskani sio marafiki,rafiki wa kweli ni yule ambaye umekuwa nae kama kaka na broo,au ulieishi nae kimazingira ya ukaribu zaidi kama ndugu,,,

Hawa marafiki wa mitaani usiwasikilize,,ila nakushauri chunguza kwanza,tatizo lako una papara sana,hebu tulia kwanza usiweke malengo haraka haraka mpaka upate datas za manamke kwanza,,,,ndio yaje mengine ya uchumba,,,

Nakushauri ukitafuta demu tafuta nje ya community yako ili kuepuka mambo kama hayoo,,jitupe arusha kama unashiii,kama upo arusha nitupe moroo,kama moro nitupe tanga,,,hapo utafunga mjadala
 
Back
Top Bottom