Nachelea kukubali Udaktari uliopo ndani ya Hamis Kigwangalla

Mimi naelewa kwanini kina Shaka ndiyo wanapewa vyeo vya kukiendesha chama.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Tanzania tuna mfumo mbovu sana wa kupata viongozi !!! Na hili taifa litasuasua sana kushamiri !!!
Viongozi wanaopewa dhamana hawana Vision wala mission!???
 

Ushirikina ni kitu kibaya sana na ndio kimechangia sana kwa yote mabaya yaliyomkuta mwendazake! Alipoingia madarakani wakina Makonda wakamuingia kwa gia kwamba asingeweza kuishi IKULU ya magogoni bila kufanya uchawi kwani Vasco Dagama alikuwa amefuga majini ya kwao mule hivyo waganga walitakiwa wazindue uchawi ule wa Kikwere!!! Mwendazake akaingia kingi na ndio mwanzo wa masheikh kuanza kumfanyia dua mwendazake huku waganga wa kisukuma nao wakifanya ya kwao huko Bariadi ; sasa sijui mchanganyiko wa haya mauchawi ndio yaliyomfanya akachanganyikiwa nobody knows!!!

Hizo imani za kishirikina ndio zilimfanya Makonda akawa karibu sana na mwendazake!!! Nadhani baadae majini yao yaliwageukia wakaanza kutoelewana!!
 
Nani Nina mashaka hata hadhi ya urais huenda imekosa uzito,tunahitaji house of common au house of Lord ili kudhibiti mwendo wa ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…