[emoji12]Sawa tumekuelewa una uwezo wa kukaa kifuani muda mrefu
Aliniambia nifanye hivyo huenda ingesaidia mana alihisi labda yeye hatonimudu muda wote, yaani we acha hakuna zuri ukishindwa tatizo ukiwana uwezo tatizo sasa ndio nini hiiKilichokufanya ukimbilie mke wa pili wakati wa kwanza analia tuuuu ni nini?
Unafkiri ni sifa?
Angekuwa anafurahia she would have cum, na angebaki anakulalia kifuani, when both of you are spent and she would fall asleep with a smile on her lips. Moyoni anasema ***** kidume si ndo hiki.
Hadi najiogopaUumetisha kijana
Ungekuwa umewahi kufundisha chekechea nadhani ungekuwa wa kwanza kuelewaMimi sijui sijakuelewa au hiyo style yako ya kuandika ndo inanichanganya!
Walioelewa naomba mnieleweshe maana nimeshindwa hata kumalizia kusoma
wenzio tunatafuta hela tuishi maisha ya level za juu wewe unaongeza wake kupooza dushe lako. Kweli mawazo ya miafrika ni ngono tu kama alivyosema TrumpAliniambia nifanye hivyo huenda ingesaidia mana alihisi labda yeye hatonimudu muda wote, yaani we acha hakuna zuri ukishindwa tatizo ukiwana uwezo tatizo sasa ndio nini hii
Uko vzry nduguJamani nina wake wawili kila mmoja anaishi nyumbani kwake nyumbani za kawaida sana ila wanazipenda mana ni watu wa dini zaidi , wanapendana saaaaana wao kwa wao tena sana mana nimejaribu kuwachunguza kwa kiasi kikubwa nimegundua wanapendana kwakweli.
Ila undani zaidi wa upendo wao anaujua mungu na kila mmoja ana mtoto mmoja nina miaka 29 wenyewe mmoja ana 23 mwingine 21 tatizo langu sio wao ni mimi binafsi kuwatanguliza katika story ili mjue nimejaribu kujitetea kiasi lakini wapi nikwamba ninapo kuwa na mmoja kati yao faragha nikama nauwaga vile mana naweza kaa hapo juu kwa muda wa DK 45 ndio nifikie mshindo wa kwanza.
Muda huo anakuwa analia mpaka naisi atazimia yani na sijawahi kutumiwa dawa toka nikiwa kijana mbichi zaidi nilikuwa mtu wa matizi sana push up naweza kupiga 100 ndio nisimame then nipige 50 kisha 50 tena mpaka zifike 300 na chaajabu yeye anakuwa Kesha enda mishindo ya kutosha haijawahi kutokea nimefanya nao nikaenda mishindo miwili mana nikijaribu hawataki nahisi nitakwenda mpaka asubuhi lakini nisifike kilele.
Hili tatizo au maana nimesha cheki afya iko sawa na situmiagi nguvu yeyote ya ziada hii sio hatari jamani mana hata wenyewe nahisi wanatamani wazoee mapigo yangu lakini hayazoeleki hii ni ugojwa ama nguvu ni nyingi sana au nini ??? Nisaidieni kwa uelewa wenu juu ya hili please .
Wewe ni funzadume kweli chelewa kuelewa uwe na point ; Trump hajui kama umetumia point yake baridi hapa mana kumbuka anafamilia pia hao watoto unadhani aliwapata kwa kujichua ? , Alafu na pesa unazotafuta uishi maisha ya level za juu nikiwanazo gani unataka ili ujue unaishi level za juu chukua kaida hii maisha sio pesa tu ukitaka kuchangia somakwanza comment za wengine ...wenzio tunatafuta hela tuishi maisha ya level za juu wewe unaongeza wake kupooza dushe lako. Kweli mawazo ya miafrika ni ngono tu kama alivyosema Trump
Turudi kwenye mada: Tafuta hela dogo achana na kuongeza wanawake utaishia kufa masikini. Miaka 30 hujafika una wake wawili je ukifika miaka 50 si utakuwa na timu ya mpira. Maisha yamebadilika kuoa oa kumepitwa na wakati sawa dogo. Unajisifia ujinga ujinga humu badala ya kutafuta pesa wewe unaongeza wanawake wa kukutia umaskini amka dunia hii sio ile ya mababu zetu sasa hivi mke anatakiwa kutunzwa na watoto kusomeshwa sasa wewe jaza wanawake tu ndani kama hujagongewa na bodabodaWewe ni funzadume kweli chelewa kuelewa uwe na point ; Trump hajui kama umetumia point yake baridi hapa mana kumbuka anafamilia pia hao watoto unadhani aliwapata kwa kujichua ? , Alafu na pesa unazotafuta uishi maisha ya level za juu nikiwanazo gani unataka ili ujue unaishi level za juu chukua kaida hii maisha sio pesa tu ukitaka kuchangia somakwanza comment za wengine ...
Uwiiiiiiii apambane tu na wake zakeAnataka ukawasaidie wake zake wanashindwa kuvuka dakika 45 wakati yeye anataka mpaka asubuhi
OkayUngekuwa umewahi kufundisha chekechea nadhani ungekuwa wa kwanza kuelewa