Kontelo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 572
- 161
Habari zenu na heshima kwenu wana JF,
Leo nimeona niweke wazi tatizo langu baada ya kusumbuka kwa mda mrefu bila kupata suluhisho katika idara ya mahanjumati.Nina tatizo la mda mrefu la kuchelewa kupata bao la pili licha ya kulihangaikia kwa mda mrefu. Lile la kwanza almaarufu la kiherehere halinichukui mda mrefu kulipata na kupumzika.
Baada ya story mbili tatu tunapoingia kwenye gemu ya pili ndipo shuuli hassa inapokuwa shuuli maana natumia maarifa yangu yote na style zote lakini sifanikiwi kuwatoa wadhungu mpaka tunachoka na kuamua kupumzika uku jasho likitumwagika.Baada ya kupumzika na kuingia tena ulingoni tunahangaika kwa mda mrefu ndo wazungu wanakuja.
Huwa inatokea mara nyingine kupuzmika hata mara mbili au kugairisha gem kabisa.Na hili tatizo sio kwa mwanamke mmoja tu nilokutana nae, nilitafta mwanamke mwingine kujua kama tatizo lipo kwa mwanamke wa kwanza pengine ana maumbile yasiyo ya kawaida lakini bado hali ikawa ile ile mpaka huyu mwanamke wa pili akidhani labda natumia Viagra Je, naweza kuwa na tatizo/matatizo gani? Na je ni kwangu tu au kuna baadhi ya wanaume wenzangu waako hivi.
Nawasilisha
Leo nimeona niweke wazi tatizo langu baada ya kusumbuka kwa mda mrefu bila kupata suluhisho katika idara ya mahanjumati.Nina tatizo la mda mrefu la kuchelewa kupata bao la pili licha ya kulihangaikia kwa mda mrefu. Lile la kwanza almaarufu la kiherehere halinichukui mda mrefu kulipata na kupumzika.
Baada ya story mbili tatu tunapoingia kwenye gemu ya pili ndipo shuuli hassa inapokuwa shuuli maana natumia maarifa yangu yote na style zote lakini sifanikiwi kuwatoa wadhungu mpaka tunachoka na kuamua kupumzika uku jasho likitumwagika.Baada ya kupumzika na kuingia tena ulingoni tunahangaika kwa mda mrefu ndo wazungu wanakuja.
Huwa inatokea mara nyingine kupuzmika hata mara mbili au kugairisha gem kabisa.Na hili tatizo sio kwa mwanamke mmoja tu nilokutana nae, nilitafta mwanamke mwingine kujua kama tatizo lipo kwa mwanamke wa kwanza pengine ana maumbile yasiyo ya kawaida lakini bado hali ikawa ile ile mpaka huyu mwanamke wa pili akidhani labda natumia Viagra Je, naweza kuwa na tatizo/matatizo gani? Na je ni kwangu tu au kuna baadhi ya wanaume wenzangu waako hivi.
Nawasilisha