Nachelewa kupata bao la pili

Nachelewa kupata bao la pili

Na mwanamme huwa hajitangazi, umeona ID name za member wengi tu hapa JF. Wengi wao hakuna alieandika somebody mwanamme au somebody kidume. Napata shida na kujitangaza kwako. Haujiamini au unaona ungejiandika siafu tu jamii isingekuelewa?
Utatapa tapa sana..ila tatizo lako unalijua na ujitahidi ulisolve..unachofanya hapa ni reflection tu..ww tulia, tafakari na usolve tatizo lako acha kuruka ruka..maana naona unaniquote mara mbili mbili
 
Utatapa tapa sana..ila tatizo lako unalijua na ujitahidi ulisolve..unachofanya hapa ni reflection tu..ww tulia, tafakari na usolve tatizo lako acha kuruka ruka..maana naona unaniquote mara mbili mbili

Sikukwita uje kuchangia kwenye post yangu.
 
Asee inafikia kipindi mpk inakera. Dah...unajua kuboa? Inaboa ile mbaya

Mkuu ni kawaida mbona? Mimi ukiacha bao la kwanza la pili linachelewa sana....kuna muda hadi unamwonea huruma mtoto wa watu coz kama unatumia ndom mpk inakauka mafuta kimtindo na dem kulalamika kuwa unamchubua na kitu hakitoki...mnaweza airisha hadi siku nyingine kutegemea na uvumilivu wa mikiki kwa dem husika.

Sidhani kama ni tatizo mkuu.
 
Sikukwita uje kuchangia kwenye post yangu.
Hili huwa nasema siku zote..kama ulikuwa hutaki wachangiaji hasa wenye mawazo tofauti..usinge leta hapa..ungetafuta masela uwahadithie wakupigie makofi..kwa kua umeleta hapa lazima utapata michango tofauti..note that
 
Mkuu ni kawaida mbona? Mimi ukiacha bao la kwanza la pili linachelewa sana....kuna muda hadi unamwonea huruma mtoto wa watu coz kama unatumia ndom mpk inakauka mafuta kimtindo na dem kulalamika kuwa unamchubua na kitu hakitoki...mnaweza airisha hadi siku nyingine kutegemea na uvumilivu wa mikiki kwa dem husika.

Sidhani kama ni tatizo mkuu.

Ok. Nashkuru kwa mawazo yako mkuu. Nilijua ni tu halafu mi huwa situmii ndom coz sioni sabab ya kufanya ivyo.
 
Tukirudisha jando na unyago ingisaidia sana...mwanaume kamili huwezi kuja kuandika na kuuliza haya

Kwanini mkuu? Mbona swali la kawaida la kiume na anahitaji kusaidiwa? Ilimradi hajatukana wala kuviolate rules za jf mkuu.
 
Tatizo lako linatokana na kujichua sana(mustarbation) kipindi/ baada ya kubalehe.

Hii ilisababisha mirija ya kupitisha mbegu za kiume kuziba.

Tatizo hilo pia hupunguza taste ya tendo pindi ukiwa faragha na umpendae.

Waone wataalam waliobobea ktk field hiyo watakusaidia zaid.
 
BenMo

Mkuu mi sina tabia ya kujichua. Ila nitawaona wataalam kwa maelezo zaidi
 
Last edited by a moderator:
Kwanini mkuu? Mbona swali la kawaida la kiume na anahitaji kusaidiwa? Ilimradi hajatukana wala kuviolate rules za jf mkuu.

Kuna mambo mengine ni natural na yapo tu na kawaida..ni ajabu kuja kuayaauliza na kuyaandika kwenye mitandao..ila kwa sisi vijana wa kizazi kipya haishangazi mkuu
 
Mkuu hata mimi hilo tatizo ninalo wakati mwingine huwa tuna ahilisha gem au kupumzika mpaka mara tatu sijui tatizo ni nini
 
Kwani mtoto anapatikana kwenye bao la ngapi? Sex is for reproduction bana wacha ufala
 
Sure ndugu. Bibie anachokaga kabisa na mara nyingi namfosi tu kuwa tuendelee naweza kupiz lkn mambo yanabakia vile vile..
Hii kitu inaniumiza sana akili, huwa nnapoanza la pili siwazagi km itakuja kutokea km jana na juzi huwa naamini leo mambo yatabadilika lkn waaaapiiiiii..

Mkuu kwani lazima ufanye?hiyo moja mbona inatosha kabisa?
 
Kuchelewa sawa... chelewa upendavyo au vile mpendavyo lakini pale unapoona wakati muafaka wa kumaliza mchezo umefika basi uwe na uwezo huo kinyume chake ni majanga!
 
Mkuu unamatatizo ya nguvu za kiumekuwai haraka sana kukojoa au kuchelewa sana kukojoa ni tatizo jaribu kula karanga kwa wingi kuongezq wing wa manii na muhemko ili uwai kukojoa.
 
mkuu unamatatizo ya nguvu za kiume
kuwai haraka sana kukojoa au kuchelewa sana kukojoa ni tatizo jaribu kula karanga kwa wingi kuongezq wing wa manii na muhemko ili uwai kukojoa

Nashkuru kwa ushauri wako..
 
We itakua unakosea tu kuwataimu mabeki, jaribu kuwataimu vizuri uone kama hutopata bao fasta
 
Mkuu ni kawaida mbona? Mimi ukiacha bao la kwanza la pili linachelewa sana....kuna muda hadi unamwonea huruma mtoto wa watu coz kama unatumia ndom mpk inakauka mafuta kimtindo na dem kulalamika kuwa unamchubua na kitu hakitoki...mnaweza airisha hadi siku nyingine kutegemea na uvumilivu wa mikiki kwa dem husika.

Sidhani kama ni tatizo mkuu.

na vip ukiwa unawah sana
 
Back
Top Bottom