Nachelewa kupiga bao

yeye huwa namchezea anapga bao kabla hata sijaingiza

Hongera, kuridhika kwa mwanamke ni jambo la muhimu.

Uwe na uhakika na kazi yako, kwa vile mpenzi wako anakojoa.

Binafsi sioni tatizo kama unachelewa kukojoa, cha muhimu uwe unapata raha ya tendo.
 

mazoez napga vizur na nakula .msos wa maana kila kitu kipo bomba
 
Nahisi
1.Huenda pono zimekuharibu psycologically
2. Una stress
3. Unaokuwa nao huwapendi
4. Huli vizuri

sina stess,nakula vizur,nawapenda pia porno hazjaniharb
 
mazoez napga vizur na nakula .msos wa maana kila kitu kipo bomba

Kamuone daktari,hiyo si hali ya kawaida,nadhan we mwenyewe ushaiona sio ya kawaida ndo mana umeshindwa kukaa nayo ukatushirikisha.,Hiyo si dalili nzuri kiafya mana itafikia mahali hukojoi kabisa,na huenda ukawa unatumia masaa matatu na si mawili tena,huoni ni hatari??
 

lakn mbona shawaha ninazo za kutosha nikipga ba0!!!!!
 
punyeto nilikuwa napiga ila nimeacha mda mrefu uliopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…