Nachelewa kupiga bao

Nachelewa kupiga bao

yeye huwa namchezea anapga bao kabla hata sijaingiza

Hongera, kuridhika kwa mwanamke ni jambo la muhimu.

Uwe na uhakika na kazi yako, kwa vile mpenzi wako anakojoa.

Binafsi sioni tatizo kama unachelewa kukojoa, cha muhimu uwe unapata raha ya tendo.
 
Kwa siku unakula Milo mingapi?usije Kuwa unapiga pasi ndefu,pia huli ukashiba,pia inawezekana unakula vyakula vya aina moja.mfano,

Mlo wa asubuhi:chai ya rangi vitumbua viwili
Mlo wa mchana:ugali(sembe) na maharage
Mlo wa jioni:wali maharage
Mpaka hapo chakula cha asubuhi+mchana+jioni vinafanana.
Hapo hakuna mboga majani,wala tunda,na mazoezi hayafanywi,na maji hunywi ya kutosha!...
Kiufupi kula chakula bora chenye mchanganyiko wa viini lishe mbalimbali na si bora chakula,kunywa MAJI ya kutosha,Fanya mazoezi.

Pia kuhusu punyeto inaweza kuwa umeathirika kisaikolojia waone wataalamu wa afya,wakushauri mana masaa mawili wanawake watakukimbia.

mazoez napga vizur na nakula .msos wa maana kila kitu kipo bomba
 
Nahisi
1.Huenda pono zimekuharibu psycologically
2. Una stress
3. Unaokuwa nao huwapendi
4. Huli vizuri

sina stess,nakula vizur,nawapenda pia porno hazjaniharb
 
mazoez napga vizur na nakula .msos wa maana kila kitu kipo bomba

Kamuone daktari,hiyo si hali ya kawaida,nadhan we mwenyewe ushaiona sio ya kawaida ndo mana umeshindwa kukaa nayo ukatushirikisha.,Hiyo si dalili nzuri kiafya mana itafikia mahali hukojoi kabisa,na huenda ukawa unatumia masaa matatu na si mawili tena,huoni ni hatari??
 
Kamuone daktari,hiyo si hali ya kawaida,nadhan we mwenyewe ushaiona sio ya kawaida ndo mana umeshindwa kukaa nayo ukatushirikisha.,Hiyo si dalili nzuri kiafya mana itafikia mahali hukojoi kabisa,na huenda ukawa unatumia masaa matatu na si mawili tena,huoni ni hatari??

lakn mbona shawaha ninazo za kutosha nikipga ba0!!!!!
 
punyeto nilikuwa napiga ila nimeacha mda mrefu uliopita
 
Back
Top Bottom