Nachelewa kupiga bao

Nachelewa kupiga bao

lakin nguvu mbona ninakuwa nayo na mashine inakuwa active mda ote

Tatizo sio nguvu wala mashine kuwa active ,tatizo wakati ,risasi haitoi kwa wakati??

Yawezekana ulishazoea punyeto hivyo husikii radha ya papuchi tena unahisi nyeto ndo yenyewe!!nyeto ina madhara pia kisaikolojia hivyo huwezi kojoa kwa wakati!!
 
Tatizo sio nguvu wala mashine kuwa active ,tatizo wakati ,risasi haitoi kwa wakati??

Yawezekana ulishazoea punyeto hivyo husikii radha ya papuchi tena unahisi nyeto ndo yenyewe!!nyeto ina madhara pia kisaikolojia hivyo huwezi kojoa kwa wakati!!

unashauri nn
 
Hilo sio tatizo ila ni jns unavyoduu..kwamtazamo wangu naona sehemu za ndani za ni pana tofauti na sehemu za mwanzo za uke, na ili umwage lazima kuwe na msisimko unaopelekea mbegu kutoka ambao unasababishwa na msuguo mzuri ambao unapatikana sehemu za mwanzo za jamaa yako na kumbuka pia hata bnt sehemu inayompa raha ni ya mwanzo
NB ndio maana hata vibamia wa inch 2·5 wanaweza kazi
 
Hahahahah Dah Huyuu Jamaa Ni Hatar
Mie Mchumba Wangu Nikishampa Mawili Na Usingizi Anapata Na La Kwanza Halichukui Hata Dk5
 
Nahisi
1.Huenda pono zimekuharibu psycologically
2. Una stress
3. Unaokuwa nao huwapendi
4. Huli vizuri
 
ugali,wali chai

Kwa siku unakula Milo mingapi?usije Kuwa unapiga pasi ndefu,pia huli ukashiba,pia inawezekana unakula vyakula vya aina moja.mfano,

Mlo wa asubuhi:chai ya rangi vitumbua viwili
Mlo wa mchana:ugali(sembe) na maharage
Mlo wa jioni:wali maharage
Mpaka hapo chakula cha asubuhi+mchana+jioni vinafanana.
Hapo hakuna mboga majani,wala tunda,na mazoezi hayafanywi,na maji hunywi ya kutosha!...
Kiufupi kula chakula bora chenye mchanganyiko wa viini lishe mbalimbali na si bora chakula,kunywa MAJI ya kutosha,Fanya mazoezi.

Pia kuhusu punyeto inaweza kuwa umeathirika kisaikolojia waone wataalamu wa afya,wakushauri mana masaa mawili wanawake watakukimbia.
 
Hilo sio tatizo ila ni jns unavyoduu..kwamtazamo wangu naona sehemu za ndani za ni pana tofauti na sehemu za mwanzo za uke, na ili umwage lazima kuwe na msisimko unaopelekea mbegu kutoka ambao unasababishwa na msuguo mzuri ambao unapatikana sehemu za mwanzo za jamaa yako na kumbuka pia hata bnt sehemu inayompa raha ni ya mwanzo
NB ndio maana hata vibamia wa inch 2·5 wanaweza kazi

naduu vizuri tu na nawapa raha
 
Back
Top Bottom