Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Salam kwenu nyote.
Wakuu kuna rafiki yangu yupo Nyanda za Juu Kusini huko anafanya biashara. Last week alinipigia simu na kunijulisha kwamba amefuatilia sana till ya MPESA iliyo katika jina lake kule aliko lakini hajakufanikiwa ikabidi afuatilie Dar kwa njia za mkato ndio till ipo tayar bado kuichukua tu.
Sasa jana katika maongezi nikamwambia anipe mawasiliano ya mhusika ili nikamchukulie hiyo till tuagize kwa jamaa tunaofahamiana nao wanaokuja kubeba mzigo Dar. Leo jamaa kanitumia hadi nauli maana mimi nipo Dar na pesa taslimu laki moja ya kumpa aliyeandaa till, nimeenda nimechukua till maeneo ya maeneo ya Mbezi Makonde lakini kwa bahati mbaya nilipokuwa narudi nikawa nawasiliana na mtu wa kumpa hiyo till kwamba tukutane Ubungo.
Nimefika Ubungo till mfukoni hamna. Jamaa ananilaani sana.
Naomba wenye ABC za namna gani nifanye kusolve hili suala anipe.
Wakuu kuna rafiki yangu yupo Nyanda za Juu Kusini huko anafanya biashara. Last week alinipigia simu na kunijulisha kwamba amefuatilia sana till ya MPESA iliyo katika jina lake kule aliko lakini hajakufanikiwa ikabidi afuatilie Dar kwa njia za mkato ndio till ipo tayar bado kuichukua tu.
Sasa jana katika maongezi nikamwambia anipe mawasiliano ya mhusika ili nikamchukulie hiyo till tuagize kwa jamaa tunaofahamiana nao wanaokuja kubeba mzigo Dar. Leo jamaa kanitumia hadi nauli maana mimi nipo Dar na pesa taslimu laki moja ya kumpa aliyeandaa till, nimeenda nimechukua till maeneo ya maeneo ya Mbezi Makonde lakini kwa bahati mbaya nilipokuwa narudi nikawa nawasiliana na mtu wa kumpa hiyo till kwamba tukutane Ubungo.
Nimefika Ubungo till mfukoni hamna. Jamaa ananilaani sana.
Naomba wenye ABC za namna gani nifanye kusolve hili suala anipe.