Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu nimekuwa na hii shida nikitembea umbali mrefu napata michubuko mapajani. Mimi sio mnene nina mwili wa kawaida, ninabadili boxer kila siku. je nini kinaweza kikaniondolea hili tatizo!?
Hahaaa,
Boss, vaa skin tight ndani.
Hili tatizo liko kwa wanawake,sasa mtoto wa kiume inakuaje?,punguza kula mayai na uache kutumia simu za kupangusa
wakuu nimekuwa na hii shida nikitembea umbali mrefu napata michubuko mapajani. Mimi sio mnene nina mwili wa kawaida, ninabadili boxer kila siku. je nini kinaweza kikaniondolea hili tatizo!?
wakuu nimekuwa na hii shida nikitembea umbali mrefu napata michubuko mapajani. Mimi sio mnene nina mwili wa kawaida, ninabadili boxer kila siku. je nini kinaweza kikaniondolea hili tatizo!?