Nachubuka mapajani nikitembea

Nachubuka mapajani nikitembea

na ufanye usafi pamoja na kunyoa huko chini
 
Vaa boksa kubwa zisizobana na uvae za cotton..waliokushauri ufanye mazoezi pia wako sahihi..inaonekana ni mnene maeneo ya mapaja kiasi ukitembea yanagusana. Ni tatizo la kawaida tu wengine wana mafuta tumboni ila ww inaonekana yapo maeneo hayo

Amesema ana mwili wa kawaida,nashangaa sanaaa
 
Last edited by a moderator:
wakuu nimekuwa na hii shida nikitembea umbali mrefu napata michubuko mapajani. Mimi sio mnene nina mwili wa kawaida, ninabadili boxer kila siku. je nini kinaweza kikaniondolea hili tatizo!?

Piga tiz mkuu, then pendelea kuvaa bukta ndogo kuliko boxa
 
Back
Top Bottom