machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Hivi nikikwambia sipendi kabichi utanielewa kweli?🤣🤣🤣
Haha,Hivi nikikwambia sipendi kabichi utanielewa kweli?🤣🤣🤣
Mdogo wako atakula vitu vingi amazing,sio kabichi aseeHaha,
Wewe ushanishinda, I bet utamlisha mdogo wangu chips wooiiiii..
Hakuna cha mapishi wala nini, aliyegundua hilo dude kuwa ni mboga moja kwa moja aende motoni.
Hapo pa kumlisha vitu vingi amazing nimewaza ujinga, maana nowadays watu wanakula hadi vitu siyo vyakula..! Enwei, I'm out..!! 😂Mdogo wako atakula vitu vingi amazing,sio kabichi asee
Naunga mkono hojaHakuna cha mapishi wala nini, aliyegundua hilo dude kuwa ni mboga moja kwa moja aende motoni.
Hahahaa.Hakuna cha mapishi wala nini, aliyegundua hilo dude kuwa ni mboga moja kwa moja aende motoni.
Yaani home ilikuwa wakipika hilo wanasema kabisa leo bwana mkubwa tafuta mboga yako jiko hilo. Dude hata halieleweki lina ladha gani. Mara sukari sukari.Hahahaa.
Nilikuwa siipendi cabbage mpaka nilipojua kuipika, upate ka ubwabwa kako na virage pembeni, uwiiiih' mniache tu hapo hapo.!
Hebu nielekeze ujinga uliowaza 😁Hapo pa kumlisha vitu vingi amazing nimewaza ujinga, maana nowadays watu wanakula hadi vitu siyo vyakula..! Enwei, I'm out..!! 😂
Yan ulivyo itaja tuu, najihisi tumbo limejaaa,hakuna kitu sipend kama iyo kabich hata niwe na njaa ya kufa sikulii hakiiii,, alafu kuna izo za kuitwa kunde sasa na choroko uuuwi n kisanga kabisaa nikihis harufu tuu kichefuchefu tayarWakuu!
Yaani tangu nikiwa mtoto nimekuwa nikichukia mboga kabichi au sijui tunda,mzizi anyway
Nyumbani walikua wakipika iyo mboga lazima waniandalie mboga mbadala labda maziwa mgando au parachichi nk..
Mpaka nimekua 30+ siwezi kula kabichi nikila nahisi Kama vile nimekuwa ng'ombe aliyekatiwa mgomba anavyotafuna vile
Kila nikijaribu kumeza nahisi Kama nimekuwa mfungwa aliyeshikiwa bunduki analazimishwa ale
Ni Hali ya kawaida kweli?
Ha ha ha ha ha sasa mbona kwa hasira sana [emoji23] kwan umemezeshwa?Hakuna cha mapishi wala nini, aliyegundua hilo dude kuwa ni mboga moja kwa moja aende motoni.
Tukianza kukuchunguza tutagundua kitu ndan yake haya baki hapo hapo hahahaHahahaa.
Nilikuwa siipendi cabbage mpaka nilipojua kuipika, upate ka ubwabwa kako na virage pembeni, uwiiiih' mniache tu hapo hapo.!
Mimi siipendi ila wewe ni noma. Mimi naweza kula tu ila siifurahii. Ni sawa na bamia na mrenda ni vitu nisivyopendaWakuu!
Yaani tangu nikiwa mtoto nimekuwa nikichukia mboga kabichi au sijui tunda,mzizi anyway
Nyumbani walikua wakipika iyo mboga lazima waniandalie mboga mbadala labda maziwa mgando au parachichi nk..
Mpaka nimekua 30+ siwezi kula kabichi nikila nahisi Kama vile nimekuwa ng'ombe aliyekatiwa mgomba anavyotafuna vile
Kila nikijaribu kumeza nahisi Kama nimekuwa mfungwa aliyeshikiwa bunduki analazimishwa ale
Ni Hali ya kawaida kweli?