machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Wakuu!
Yaani tangu nikiwa mtoto nimekuwa nikichukia mboga kabichi au sijui tunda,mzizi anyway
Nyumbani walikua wakipika iyo mboga lazima waniandalie mboga mbadala labda maziwa mgando au parachichi nk..
Mpaka nimekua 30+ siwezi kula kabichi nikila nahisi Kama vile nimekuwa ng'ombe aliyekatiwa mgomba anavyotafuna vile
Kila nikijaribu kumeza nahisi Kama nimekuwa mfungwa aliyeshikiwa bunduki analazimishwa ale
Ni Hali ya kawaida kweli?
Yaani tangu nikiwa mtoto nimekuwa nikichukia mboga kabichi au sijui tunda,mzizi anyway
Nyumbani walikua wakipika iyo mboga lazima waniandalie mboga mbadala labda maziwa mgando au parachichi nk..
Mpaka nimekua 30+ siwezi kula kabichi nikila nahisi Kama vile nimekuwa ng'ombe aliyekatiwa mgomba anavyotafuna vile
Kila nikijaribu kumeza nahisi Kama nimekuwa mfungwa aliyeshikiwa bunduki analazimishwa ale
Ni Hali ya kawaida kweli?