OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hii kitu inatokea mara nyingi kwa michepuko au wasichana wanaonimendea. Mke wangu huwa haniiti wala hajawahi kuniita baby. Nikimkuna sana ataishia kuniita mpenzi,huby, dear nk.
Kwa kweli najisikia vibaya sana kuitwa baby,huwa naona kama ni maigizo fulani hivi na kutaka kutapeliana.
Hivi nani alileta haya mambo ya kuitana baby
Kwa kweli najisikia vibaya sana kuitwa baby,huwa naona kama ni maigizo fulani hivi na kutaka kutapeliana.
Hivi nani alileta haya mambo ya kuitana baby