Nachukia kuitwa-itwa baby

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Hii kitu inatokea mara nyingi kwa michepuko au wasichana wanaonimendea. Mke wangu huwa haniiti wala hajawahi kuniita baby. Nikimkuna sana ataishia kuniita mpenzi,huby, dear nk.

Kwa kweli najisikia vibaya sana kuitwa baby,huwa naona kama ni maigizo fulani hivi na kutaka kutapeliana.

Hivi nani alileta haya mambo ya kuitana baby
 
Wasipo kuita ivo hawawez kukupata kiurahisi we kubaliana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…