Baki na mkeo anaekuita unavyo taka.Hii kitu inatokea mara nyingi kwa michepuko au wasichana wanaonimendea. Mke wangu huwa haniiti wala hajawahi kuniita baby. Nikimkuna sana ataishia kuniita mpenzi,huby, dear nk.
Kwa kweli najisikia vibaya sana kuitwa baby,huwa naona kama ni maigizo fulani hivi na kutaka kutapeliana.
Hivi nani alileta haya mambo ya kuitana baby
Waambie hao michepuko wewe si mtoto waache Mara moja.Hii kitu inatokea mara nyingi kwa michepuko au wasichana wanaonimendea. Mke wangu huwa haniiti wala hajawahi kuniita baby. Nikimkuna sana ataishia kuniita mpenzi,huby, dear nk.
Kwa kweli najisikia vibaya sana kuitwa baby,huwa naona kama ni maigizo fulani hivi na kutaka kutapeliana.
Hivi nani alileta haya mambo ya kuitana baby
Ni wazungu waliyaleta hayo mkuu kama dini tu ilivyoletwa naoHii kitu inatokea mara nyingi kwa michepuko au wasichana wanaonimendea. Mke wangu huwa haniiti wala hajawahi kuniita baby. Nikimkuna sana ataishia kuniita mpenzi,huby, dear nk.
Kwa kweli najisikia vibaya sana kuitwa baby,huwa naona kama ni maigizo fulani hivi na kutaka kutapeliana.
Hivi nani alileta haya mambo ya kuitana baby