uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kwa kweli nachukia mambo yanayoendelea kwenye nchi yangu na uonevu mkubwa wa mifumo yetu.
Niwape pole sana kwa report mbaya ya CAG, ila pia niseme kisa changu kinachoula moyo wangu.
Nilikuwa nina safari ya Mbeya ya kikazi na gari langu, kweli ni my dream car na nimelinunua kwa gharama na jitihada.
Toka Dar kwenda Mbeya mnajua ni safari ndefu, nimeenda salama, nimeanza kurudi, wakati nakaribia Dar nikapata ajali iliyosababishwa na trafic.
Nimepita vizuri bila speed na sina ticket yeyote ya speed safari nzima, akawa anakuja mtu nyuma speed, jamaa wa tochi wakamwona.
Ili kufanikisha azma yao ya kumshika, wakanisimamisha mimi ghafla ili jamaa wa nyuma asimame, nikasimama, na ndipo gari la nyuma likaja na kunigonga.
Niliumia hata kushuka ilikuwa ngumu sana sana, gari limabaribika mno nyuma na sijui hata, pole sijuia maneno mengi, hayawezi nirudisha nilipokua.
Hemu trafic wetu hata kama mna tamaa, wekeni jicho kidogo la usalama, imagine ndo nipo na watoto kwenye gari?
Pamoja na kutuibia kodi zetu, kutuzulumu, kutubambia kesi, na mambo mengi mabaya mnayofanya, hemu sasa muuangalie usalama wetu kwa haki.
I am having a worse week of my life ndugu zangu....
Niwape pole sana kwa report mbaya ya CAG, ila pia niseme kisa changu kinachoula moyo wangu.
Nilikuwa nina safari ya Mbeya ya kikazi na gari langu, kweli ni my dream car na nimelinunua kwa gharama na jitihada.
Toka Dar kwenda Mbeya mnajua ni safari ndefu, nimeenda salama, nimeanza kurudi, wakati nakaribia Dar nikapata ajali iliyosababishwa na trafic.
Nimepita vizuri bila speed na sina ticket yeyote ya speed safari nzima, akawa anakuja mtu nyuma speed, jamaa wa tochi wakamwona.
Ili kufanikisha azma yao ya kumshika, wakanisimamisha mimi ghafla ili jamaa wa nyuma asimame, nikasimama, na ndipo gari la nyuma likaja na kunigonga.
Niliumia hata kushuka ilikuwa ngumu sana sana, gari limabaribika mno nyuma na sijui hata, pole sijuia maneno mengi, hayawezi nirudisha nilipokua.
Hemu trafic wetu hata kama mna tamaa, wekeni jicho kidogo la usalama, imagine ndo nipo na watoto kwenye gari?
Pamoja na kutuibia kodi zetu, kutuzulumu, kutubambia kesi, na mambo mengi mabaya mnayofanya, hemu sasa muuangalie usalama wetu kwa haki.
I am having a worse week of my life ndugu zangu....