kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
YANGA 2 - KOLO FC 1Hamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga Mayele...
Utopolo ni la Ombaomba fc.we ni mjinga sana , kwanza jina utopolo huko kwenu mlijipa wenyewe, pili kolo kwa kiswahili sanifu ni MJOMBA tatu kwa mujibu wa sope albino zeruzeru kolo inamaanisha makolokolo ya jezi sasa sijui ni jezi iliyojaa makorokoro nyingine imemuweka hadi muuaji wa polisi bwana hamza
Hamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Watakuja kukwambia umejaa kinyesi kwenye chupi.🤣Hamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Kimba fcKolowizard fC
Inaumiza sana kuitwa kolo mikia utelembwe inatuumiza sisi mashabikiwe ni mjinga sana , kwanza jina utopolo huko kwenu mlijipa wenyewe, pili kolo kwa kiswahili sanifu ni MJOMBA tatu kwa mujibu wa sope albino zeruzeru kolo inamaanisha makolokolo ya jezi sasa sijui ni jezi iliyojaa makorokoro nyingine imemuweka hadi muuaji wa polisi bwana hamza
Naona unajichetuq mwenywe.. kwanza wewe sio shabiki ww simba... Na ukweli Yanga kutuita sisi mashabiki wa simba kolo.. wala haituumi kbsa.. hakuna mshabiki wa simba eti anaumia kuitwa kolo kwa sabbu tunajua halidumu..Hamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Unawashwa sana na mambo ya Simba.Hamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Nyie ni vinyesi FC kwa mujibu wa msemaji wenu Sope bin Takadini aka albino au zeruzeruMakolo hili neno alianza litumia chama huyo mchezaji wenu
Walipokuwa wanachati miquison kwenye social media
Linatokana na neno makolokocho la haji manara.
Nyie ni mbumbumbu fc
Kama huwezi utani, achana nao fanya mambo mengine, simba na yanga ni watani wa jadi.Hamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Utopolo, gongowazi,yeboyebo, vinyesi FC,vyura,nyani,kandambili,kwasukwasuInaumiza sana kuitwa kolo mikia utelembwe inatuumiza sisi mashabiki