Wewe unamdanganya mwenzio kama mtoto kwa pipi ili alale! mwenzio anajua ukweli kuwa Kolo si neno zuri ila we unamzuga tu ujue hadi kaweka uzi hapa keshajiridhisha! keshabukua!Kwa taarifa yako 'Kolo' ni jina lenye sifa nzuri.
Chanzo cha hilo jina ni maneno ya Haji alipokuwa akiiponda jezi ya Simba ya msimu uliopita - Kwamba ina makolokolo mengi.
Kiuhalisia Jezi ikiwa na makolokolo mengi tafsiri yake hiyo Timu inaingiza mtonyo mwingi toka kwa wadhamini wake ambao lazima watangazwe kwenye hiyo jezi. Hivyo nakushauri furahia kuitwa Kolo hiko ni kielelezo cha timu nyako kuwa na mvuto kibiashara.
l
Kinye Fc una taabu sanaHamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Kwa tafsiri hiyo uliyoizungumzia wewe ipo kwenye Jezi ya Yanga.unamdanganya kama mtoto kwa pipi! mwenzio anajua ukweli kuwa si neno zuri we unamzuga tu ujue hadi kaweka uzi hapa keshajiridhisha!
Makolokolo au Makolo au Kolo ni madudu mengi yasiyo na tija mf wa Kolo FC ni kama kichaa aliebeba mafurushi ya uchafu.
Ukiangalia uongozi wa Kolo FC ni butu wa Demu
Wachezaji ni butu bila msaada wa penati na magoli ya offside hawafungi
Mashabiki wa Kolo FC ni oya oya timu inafungwa na Yanga kila mechi wao badala ya kuweka mezani agenda za uozo wa timu wao wanasema Yanga inashinda nje ya uwanja wakati sisi sote tunaangalia Azam TV jinsi Mayele anavyowapasua bila huruma
Kolo ni kifupi kirefu chake ni makoloKwa taarifa yako 'Kolo' ni jina lenye sifa nzuri.
Chanzo cha hilo jina ni maneno ya Haji alipokuwa akiiponda jezi ya Simba ya msimu uliopita - Kwamba ina makolokolo mengi.
Kiuhalisia Jezi ikiwa na makolokolo mengi tafsiri yake hiyo Timu inaingiza mtonyo mwingi toka kwa wadhamini wake ambao lazima watangazwe kwenye hiyo jezi. Hivyo nakushauri furahia kuitwa Kolo hiko ni kielelezo cha timu nyako kuwa na mvuto kibiashara.
l
Mbumbumbu, kolo, wizard, mikia, wamatopeni, makalio fc, mbwa Koko fc,mdebwedo fc, ndembe ndembe fcUtopolo, gongowazi,yeboyebo, vinyesi FC,vyura,nyani,kandambili,kwasukwasu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
UTO salamu zitakufikia very sooonHamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.
Mbwakoko hilo la kwenu aliwapa mtukuka Luc Eymael alisema mnachoweza ni kubweka bweka tu. Naona umesahau si unajua tena nyie ni hamnazo.Mbumbumbu, kolo, wizard, mikia, wamatopeni, makalio fc, mbwa Koko fc,mdebwedo fc, ndembe ndembe fc
Mkuu nyie ndo mnafanya tunitwa mambumbumbu na makolo sababu ya akili ya namna hiiNyie ni vinyesi FC kwa mujibu wa msemaji wenu Sope bin Takadini aka albino au zeruzeru
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hiki ndicho kinachonoumiza zaidiWewe unamdanganya mwenzio kama mtoto kwa pipi ili alale! mwenzio anajua ukweli kuwa Kolo si neno zuri ila we unamzuga tu ujue hadi kaweka uzi hapa keshajiridhisha! keshabukua!
Makolokolo au Makolo au Kolo maana yake ni madudu mengi yasiyo na tija au matakataka mf wa Kolo FC ni kama vile kichaa aliebeba mafurushi ya uchafu anazunguka nayo.Nyie wazima mnamshangaa na yeye pia anawashangaa nyinyI!
Ona sasa !
Ukiangalia uongozi wa Kolo FC ni butu hauna malengo tena wa Demu
Wachezaji wa Kolo Fc ni butu bila msaada wa penati na magoli ya offside hawafungi
Mashabiki wa Kolo FC hawajitambui ni oya oya timu inafungwa na Yanga kila mechi wao badala ya kuweka mezani agenda za uozo wa timu wao wanasema Yanga inashinda nje ya uwanja wakati sisi sote tunaangalia Azam TV jinsi Mayele anavyowapasua bila huruma
Basi hamia kwa utopolo uwe unaitwa UTOOHamna kitu na chukia kama kuitwa kolo tena wakati ambao yanga wametuzidi kila kitu na mbaya zaidi awe kafunga mayele.
Nikiona yanga wanavyotetema inaniumiza sana
Muache kutuita kolo
Viongozi mjiuzuru wote.