kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
We kolo nyamazaawe ni mjinga sana , kwanza jina utopolo huko kwenu mlijipa wenyewe, pili kolo kwa kiswahili sanifu ni MJOMBA tatu kwa mujibu wa sope albino zeruzeru kolo inamaanisha makolokolo ya jezi sasa sijui ni jezi iliyojaa makorokoro nyingine imemuweka hadi muuaji wa polisi bwana hamza
Wewe ni nyani wa pori la Utopolo. Koma kabisa kuzungumzia habari za SimbaMkuu nyie ndo mnafanya tunitwa mambumbumbu na makolo sababu ya akili ya namna hii
Samahani unapotosha mkuu ni Makolo FC au Makolokolo yani taka taka za Dampo zenye pempas za watoto waliofanya yao ukisema Kolo umefupisha tu unampaka mafuta kwa mgongo wa chupaUNACHUKIA KUITWA MJOMBA?
View attachment 2328716
Endeleeni kumsifia mwanaume mwenzenu mwambie afanye kazi goli moja hoii mbili kafa. Nyie kombe lenu si kuifunga Simba? Halafu hata hatuwazi tena maana tunajua mpk mnaloga ili muishinde simba mpate sifa za kijingahaiboi kama umejaza makombe kabatini wakati Makolo Makolokolo Takataka za Dampo FC aka Mikia kabati lenu la makombe limejaa vumbi Demu wenu Barabarani aisee mzuri ila wala hajigusi!
Mtu tajiri hata ukimtukana wewe jizi fisadi hatachukia atacheka tu kwa dharau na kusema mbona hivi ni vijisenti, nyie iteni majina yote sijui Utopolo vinyesi na takataka zote ila kila mkijaa kwenye 18 tunawapasua na Mayele alivyo na sifa za kufunga na kutetema na Mwamnyeto alivyojaa na sifa za kunyanyua makombe we acha tu Yanga tamu bwana Asikwambie mtu
ha ha haEndeleeni kumsifia mwanaume mwenzenu mwambie afanye kazi goli moja hoii mbili kafa. Nyie kombe lenu si kuifunga Simba? Halafu hata hatuwazi tena maana tunajua mpk mnaloga ili muishinde simba mpate sifa za kijinga
Umeeleza vema. Nasikia kuna neno Kinye fc linatamba kwa kasi. Hili nalo unalielezeaje mkuu?Kwa taarifa yako 'Kolo' ni jina lenye sifa nzuri.
Chanzo cha hilo jina ni maneno ya Haji alipokuwa akiiponda jezi ya Simba ya msimu uliopita - Kwamba ina makolokolo mengi.
Kiuhalisia Jezi ikiwa na makolokolo mengi tafsiri yake hiyo Timu inaingiza mtonyo mwingi toka kwa wadhamini wake ambao lazima watangazwe kwenye hiyo jezi. Hivyo nakushauri furahia kuitwa Kolo hiko ni kielelezo cha timu nyako kuwa na mvuto kibiashara.
l
Aaa tunaongeaga vingi sana utakumbuka tuu badae hahhaaha ha ha
kombe lenyewe bayaaa ! !
jezi ya utopolo ni nzitooo!!
Yanga inashinda mechi nje ya uwanja!!!
kipi nimesahau?