Nachukia sana kuitwa kolo

πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ KOLO BOY,KOLO BOY,KOLO BOOOOOYYYYYY
 
Utopoloooo hawana furaha hata kidogo, wanayavagaa vibaya lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti
 
We kolo nyamazaa
 
Endeleeni kumsifia mwanaume mwenzenu mwambie afanye kazi goli moja hoii mbili kafa. Nyie kombe lenu si kuifunga Simba? Halafu hata hatuwazi tena maana tunajua mpk mnaloga ili muishinde simba mpate sifa za kijinga
 
Endeleeni kumsifia mwanaume mwenzenu mwambie afanye kazi goli moja hoii mbili kafa. Nyie kombe lenu si kuifunga Simba? Halafu hata hatuwazi tena maana tunajua mpk mnaloga ili muishinde simba mpate sifa za kijinga
ha ha ha
kombe lenyewe bayaaa ! !
jezi ya utopolo ni nzitooo!!
Yanga inashinda mechi nje ya uwanja!!!
kipi nimesahau?

nimegundua wewe humsikilizi Mayele kwenye interview Azam anasema yuko Yanga kucheza CAF championship sio kucheza na Makolo huwa hawawazii nakushauri uanze kumsikiliza Cedric Kaze ujue mipango ya Yanga!!
 
Umeeleza vema. Nasikia kuna neno Kinye fc linatamba kwa kasi. Hili nalo unalielezeaje mkuu?
 
ha ha ha
kombe lenyewe bayaaa ! !
jezi ya utopolo ni nzitooo!!
Yanga inashinda mechi nje ya uwanja!!!
kipi nimesahau?
Aaa tunaongeaga vingi sana utakumbuka tuu badae hahhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…