Umenichekesha sana aise [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani ukiwa upo mgahawani/hotelini afu ukawa unakata matonge ya haja ukidhani hakuna anayekuona
Utashangaa ile unamaliza tonge la mwisho muhudumu wa kufuta meza huyu hapa kashakufikia kaja kuchukua vyombo.
Hii tabia huwa inanikera sana kwa sababu muda mwingine mtu unataka kukombeleza chakula chako lakini kwa aibu unaamua kuacha tu.
Khaaa wao wenyewe wanaendaga kumalixia ulichokiaxhaYani ukiwa upo mgahawani/hotelini afu ukawa unakata matonge ya haja ukidhani hakuna anayekuona
Utashangaa ile unamaliza tonge la mwisho muhudumu wa kufuta meza huyu hapa kashakufikia kaja kuchukua vyombo.
Hii tabia huwa inanikera sana kwa sababu muda mwingine mtu unataka kukombeleza chakula chako lakini kwa aibu unaamua kuacha tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenichekesha sana aise [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anajuaje kama umeshamaliza chakula kama alikuwa hakuchunguliii ?
Mi huwa kama nipo zangu bar akija kuchukua chupa namwambia acha kwanza usichukue bado nipo chumba iendelee kulinda meza [emoji23] [emoji23]