Nachukia Whatsapp Images/messages za KU-FORWARD

Nachukia Whatsapp Images/messages za KU-FORWARD

franktemu123

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
1,406
Reaction score
1,475
Unakuta ni jitu zima unaliheshimu kazi kufoward mimeseji ya kutumiwa na watoto wadogo. We mama mtu mzima si ukae na wajukuu zako. Mkottongoz.wa mnalalamika vijana hatuna nidhamu
 
Ukitaka usikereke na Whatsapp achana na masuala ya magroup halafu futa namba zote ulizojiunga nazo Whatsapp, tafuta namba maalumu kwa ajili ya Business zako Whatsapp tu ambayo utawapa wale walio wa muhimu.
 
Ukitaka usikereke na Whatsapp achana na masuala ya magroup halafu futa namba zote ulizojiunga nazo Whatsapp, tafuta namba maalumu kwa ajili ya Business zako Whatsapp tu ambayo utawapa wale walio wa muhimu.
Well said
 
linaporomesha video ya dk 30 bundle zenyewe hizi za chuo kupeana umaskin tu
 
we mwanaume unawivu wa kike ina maana wamama ndo wanaokutumiaga hivo vitu tu?
 
Tena na sikukuu hizi Ni full kuforward hupumui kila dakika chubwiii....mara picha, mara video.
 
Back
Top Bottom