Nachukizwa na tabia ya wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu utupu

Nachukizwa na tabia ya wanawake kuvaa nguo zinazowaacha nusu utupu

Mwanamke atavaa kulingana anavyotaka watu wamchukulie
Wanaume wamwagalie kwa jicho gani.

Anataka kuangaliwa kwa kiasi gani

Utamaduni na mazingira ya alipotoka


Thamani yake anaionA ndogo au kubwa kwa kiasi gani?

Kifupi wanawake 75% anaweza kufanya lolote kwa attention hivyo asipokemewa hata uchi anatembea.Babu zako ba jamii mbalimbali duniani waliona haya madhaifu ndo mana walididimizA Mwanamke makusudi kbs ili kulinda Jamii.


Ugly side of female nature has to be controlled if we want stable society.
 
Mtoa mada kaandika kwamba kuvaa uchi ndio kuvaa ovyo?

Kuvaa hovyo ni kuvaa bila mpangilio sahihi wa mavazi. Kama wewe hapo ulivyotupia
Na mimi point yangu ilikuwa kama ya mtoa mada inawezekana Sijaweka sentensi yangu vizuri...
Vaa vizuri usivae nusu uchi
 
Kinawachowafanya wajifichefche sas ni nin
Hii ndio concern yangu! Kwa nini wanahangaika Sasa pindi males wanapopita? Some times utakuta mwanamke matured anajiachia kiasi hicho.wanawake mkuye mtuambie Huwa mnakuwa mnahangaika kujifichaficha Kwa nini?
 
Hili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwakweli. Wenye hela ndio wanaowanunulia wanawake wao nguo za hivyo na wanapenda.
 
Mimi nmeshtuka siku hzi nguo zao kila mams ana matarcle
Nshaweka category ya nguo kama zile office trou nkiona umevaa Ile una shape sitongozi najua ni nguo zinawabeba na kuna zile zinakua kama za rangi moja t shirt na surual yake nazo sitongozi

Hamna zinaemkataa
 
Kanuni ya kuitawala Dunia is very simple. Mfanye mwanaume awaze zaidi ngono ili atumie zaidi hisia kuliko logic, then empower women
 
Back
Top Bottom