Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Inaonekana na wewe ni mvaa ovyo
Kuvaa ovyo ndio kupoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana na wewe ni mvaa ovyo
Kupo kama alivyoeleza mtoa madaKuvaa ovyo ndio kupoje?
Kupo kama alivyoeleza mtoa mada
Na mimi point yangu ilikuwa kama ya mtoa mada inawezekana Sijaweka sentensi yangu vizuri...Mtoa mada kaandika kwamba kuvaa uchi ndio kuvaa ovyo?
Kuvaa hovyo ni kuvaa bila mpangilio sahihi wa mavazi. Kama wewe hapo ulivyotupia
Kinawachowafanya wajifichefche sas ni ninYote hayo wanafanya kwasababu yenu wanaume muwaone ...
LiaNakereka na tabia za wanawake kukaa uchiuchi harafu wakiona wanaume huanza kuhangaika kufunika nyuchi zao! Hivi nyie wanawake wanawake mna nini lakini vichwani mwenu?
NAKAZIAHili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
Mbwembwe....[emoji1787][emoji1787]Kinawachowafanya wajifichefche sas ni nin
PointHili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.
Hii ndio concern yangu! Kwa nini wanahangaika Sasa pindi males wanapopita? Some times utakuta mwanamke matured anajiachia kiasi hicho.wanawake mkuye mtuambie Huwa mnakuwa mnahangaika kujifichaficha Kwa nini?Kinawachowafanya wajifichefche sas ni nin
🤣🤣🤣🤣🤣Hili janga la kuvaa nguo ambazo ni za “nusu uchi” huwa linawakera wanaume wasio na hela tu kwani wanakuwa wanayaona maua ambayo hawawezi kuyachuma.